#EXCLUSIVE : MREMBO BABY NAI ANAYEZUNGUKA KUSAKA MUME AFUNGUKA MAZITO YANAYOMSIBU

preview_player
Показать описание
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113

LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻

Follow Us On:

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ni Jambo jema Mungu akupe hitaji la MOYO wako.

ghatimakonge
Автор

Muombe mwenyezi mungu dada utapata mwanaume sahihi tu

sharinv
Автор

Ushetani MUNGU akurehemu wewe ni hatari sana.. Jitangaze studio zote ukimaliza mwishoni utaftiwe hospitali upimwe akili hapo sikweli.

elizanzula
Автор

WATU TUMRUDIE MUNGU JAMAN DUNIA IMEISHAAA DAAH🙏🙏🙏🙏😭

zuberninga
Автор

He!! Mimi nilijuwa kaalikwa hapo kumbe kajileta jamani hii sio Kiki huyu Dada akapimwe akili sio mzima

leilamakenya
Автор

Ila pia swali la umeshakuwa Na wanaume wangapi,

neemamasawe
Автор

Nina vigezo anavyo hitaji plz Diva ninahitaji mi nimpenda since day one namuona.

mariosulley
Автор

Kwani huo umri Kwani si alipta na hajaolewa! Huyu ni mwehu

maxlattinokiki
Автор

Huyo Mdada Anatafuta Kiki. Siku Ya Kwanza Alisema Yeye Nibikra, Na Kingine Alitafutiwa Mume Na TIKI TV .Akamkata Etii Kisa Mmakonde, Yeye Kama Anataka Mume Kwa Nini Achague Kabila.Etii Namtaka Kabila Fulani, Nasiyo Kabila Fulani😳

hawa-luumiwrty
Автор

Huyo Dada hawatakaki wa makonde hebu atuambie wanashida gani hao wamakonde ?natofauti ya wa

davidkalinda
Автор

Kitendo cha kutangaza mwanaume mwenye miaka 20 wakati we una miaka 34 ni dhahiri kuwa we siyo mzima halafu eti hadi miaka 70 mzee kabisa

agnesnoelina
Автор

Nilimshauri aje kwetu uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬 atapata hata mia .Inaonekana wa Tanzania hamjamkubali

shamirahkantengwa
Автор

Mimi nataka awe mke wangu sema sna ela🙄😊

ilynpayne
Автор

Kwanini aliuchuuza utupu wake kwaza siange simamia ndoa kwaza leo ndio anaona samani ya kutafuta mume adange tu

fadhilarashidi
Автор

Kwaiyo pressure is too high..
Yeah 😂
Damn Meeen 😂

SuperAdam
Автор

Ndowa niheshima kwa mwanamke sio kilamtu atakuchezea ukiwa na mume

anealane
Автор

Huy dada muongo mara alihojiwa akasema niko bikir mara yapili kasema nina watoto hahahaha hatar sana ukiwa muongo jarib nakumbuka uongo wako kuna siku kasema shela katoa dukan kwake leo et nimenunua laki n.a. nus dah

hasnathmaulid
Автор

Sawa mm nipo ingiya kwenye account yangu

blysontytus
Автор

Jirani zetu wa Tanzania wamefuraiya mtandao yani imewaweka kama vichaaa kiekiekiekiekie

lelozaina
Автор

Totauti ya wamakonde na makabila mengine ninini?

davidkalinda