Mpishi wa Nigeria na rekodi ya Kupika kwa muda mrefu

preview_player
Показать описание
Hilda Baci amepika mfululizo kwa saa 100 bila kuacha, akiwalisha zaidi ya watu 2,700 katika jiji la Lagos nchini Nigeria, katika hatua ya kutengeneza rekodi mpya ya dunia.

Guinness World Record ilisema wameona juhudi za Hilda kujaribu kuvunja rekodi hiyo na wanapitia ushahidi kabla ya wao kutangaza rami kwamba amevunja rekodi.

#bbcswahili #nigeria #short #guinessworldrecord
Рекомендации по теме
join shbcf.ru