MISSION IMPOSSIBLE [54]

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Eehh mungu tunakushukuru kwa kutuweka hai na kutupa pumzi mpka mda huu tunaangalia mission impossible tuseme Amen 🙏🙏🙏

AbaidiiniNgweti
Автор

Mashabiki wa NAJIMA KI DEMUJAU WADAM MUKUJEHAPATUJUAN TIYA LEK

RashiJumma
Автор

Napenda sana unavyolusha kazi zako on time chado masta big up broh

ConfusedAurora-npdl
Автор

Weeee alihamdhullh leo nimewai niwa 150 kuchelewa sio kufika kumbe ❤❤❤❤❤❤❤❤nawapenda wote mungu awabariki ndugu zangu

Naema-xp
Автор

mashabiki wa damu wa chado masta
Mkuje hapaaa tujuane❤❤❤

annaki
Автор

Nimejifunza kitu Leo nikiwa Sina hela naenda sehem nakula nakimbia zangu huyo na na make sure niwe nimevaa Dera tu maana hakun mwizi anaeiba na dera😂😂😂😂😂

ZenaMsengi
Автор

Ndoraha yakuwa na mpenz mkubwa anae kuzid leo kidem jau anapat msaada kwa chado❤❤❤❤👌

Realme-xmsh
Автор

Jamani chado master katisha sana licha ya uhuni wake na ubabe rakini bado ni mtu mzuri ❤❤❤ like zangu bas

Taus-tp
Автор

❤ wa kwanza kuwatch from Kenya 🇰🇪 nipeeni likes wakuu 🎉🎉🎉

Vintonekaveli
Автор

Jojo ameingiza upendo sehemu ngum ilishawahi nitokea hyo

Dainesskisesa
Автор

Mimi tayari kwa chado master 🎉🎉much love 💕 my brother 🙏💥 10 million

Justin_Nano
Автор

Jaman wa kwanz mm like kwa chado master ❤❤❤❤❤

MichaelBrown-mc
Автор

@mkojani gang ulkua umekalia vipaji, big up chado kwa kutoka huko

deprodigy
Автор

Kipande kinachofuata usicheleweshe Mzee wa kazii Yan Nd patamu tunapopataka ... Tuone chado anapambana vipi kudadekiiii 😅😅😅😅😅

AlbertJr-uq
Автор

Weee kweli chado n mtu anae jali😂😂😂sivyo unavyomfurahisha kidem jau❤❤❤

Malikamtajir
Автор

Leo nimewahi jaaamn mungu am'baliki kila mtu atakaegusa hii comment hta wasio gusa piah wabarikiwe

SayunjKalinga
Автор

Jaman chado Mungu akupe maisha marefu uzidi kutuburudisha❤ ilike

GiftyAkyoo
Автор

Chado hii movie kali sana sana inabidi iendele mpaka movie ya tAtu. Isi ishie hii tu napenda sana kuigiza

kinjekitilew
Автор

Mimi namkubali sana chado bagga na nampenda sana mama hanifa sijui ndoa iweje

boomlensrealitytv
Автор

Nilidhani tunaenda final kumbe utamu ya movie ndio inaanza chado weeeeh fundii❤❤❤❤

christinechristine