VICKY APIGWA CHINI NA MR RIGHT/ EX ATAKA KUHARIBU PENZI JIPYA LA CAREEN

preview_player
Показать описание
Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :

ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

RATIBA ZA VIPINDI VYETU

THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Wakitoka hapo na hao wanaume wanaendaga kulala au😢maana sijui hata Kama wana Pima Ukimwi😭😭😭pia mbona huwa hamtupi mrejesho wa ndoa? Hapo mnatuchanganya

salomevenance
Автор

Yan kwel kuna watu wamejikatia tamaa, unaskia mtu ana matabia mabaya still unamtaka tu.aiseh wanawake achen kuwa desperate hivyo

LinahRwambali
Автор

Yaani Mungu inawezekana amewapa afya njema, pesa, muda, hewa na siku za kuishi..lkn leo mnatimia neema za Yesu kufanya ushenzi huu!Tubuni kabla hamjafa!

jacobmakono
Автор

Daah kweli dunia inaenda kasi sana yaan wadada wamefikia uku yaan mnapelekwa mnadani kama mbuzi kweli yatapuswa kuombea kizazi chetu mno kwa Muumba wetu

peterdavid
Автор

Alichokisema golden girl ni sahihi huyu jamaa anaonekana wa hovyo ndyo maana kamchagua huyo mwenye sura bandia yenye mikope ..vick yupo natural anahitaji mwanaume mwenye smart brain ...nimefurahi kwakuwa Vick yupo salama Sasa...

nervashonza
Автор

Kwakweli Dunia imeisha!!! YAANI imefika hapa!!! Loooo!!!!

MagrethMallya-weui
Автор

Nilijua Vick 😂😂😂 kwanza huyo rafiki wa ex duh anatamani hata kurukia hiki kipendi kingekuwa live youtube Mwarabu angenipunguza mshahara😂😂

isunga
Автор

Sio kwamba hayo mavaz lulu yanakupendeza ni upuzi ndani ya upuz mtupu

hassanisaimon
Автор

Napenda sana kufatilia hiki kipindi na enjoy sana.

stumaisanga
Автор

Subuhanalla alla mungu atusimamie Kwa hali yeyote ile maana sio mwanamke wala mwanaume wote wamechorwa tunajua watoto wakitanzania akiwa mzuri lazima achore too yake ili aonekane pia hasa sisi watoto wakiislam ndo balaa yake ewe mungu mliganiaji wa waja wako tusamehe sisi waja wako

Aida-qhjq
Автор

Hayo masiara ni vichekesho ni kupima, mapenzi ni hatua ukivuka stage moja basi msingi aufai ata kidogo, yaani process ya mahari ni ipi, je kupima kama wanao uwezo wakudunga mimba au kubeba mimba? Je ukimwi maana Tanzania, Uganda, Kenya na South Africa VVU wanaongoza barani Africa...

jeanbaraka
Автор

Kwakweli hapo hata majambazi watapata wake bila shaka 🙄

rachelmuhehe
Автор

Hivi huyu kaka si anaigiza na kina bailam au macho yangu na vile nilikua nampenda 😊 ila siyo mbaya kapata chaguo lake na wameendana congratulations to them

PrincessHellen-pgoy
Автор

Mtoto wa kiislam mapaja waziu wee lulu diva muogope mola wako

khadijasalum
Автор

Mmh mm ndo namuona huyu mr msanii wa clam vevo

DianaElia-op
Автор

Yaaaani naaanza kuu feel wale wanaume wasio takaaa kuzaaa watoto wa kike imagine akiwa ni mtoto wako yuko haaaapa mpaka machozi yatakutoka. Mbona tu wazuri Kuna shida gani

levisdiamond
Автор

kupata mtu aliye sahihi ktk mazingira kama haya ni changamoto maana hapa utakuta watu wny tabia zote washirikina, malaya, , wauwaji, , walevi nk..

stevemwandambo
Автор

Plz guys sisi tupo inje ya inchi tunaomba muwe mnatumalizia videos plz

vincentgazire
Автор

Njo mana kutafuta mme apo sio vizuri, wengi wanakija na vijitabia viao eti wanataka mke mwengine

sikitunathing
Автор

Guys kwani shindano inakuaje
Inakua unatafuta mpenz kweli au maigizo tu?

silamshana
welcome to shbcf.ru