Azam TV - CECAFA2017; MAGOLI YOTE: Rwanda 2-1 Tanzania Bara

preview_player
Показать описание
Ni katika mchezo wa kundi A kwenye michuano ya CECAFA inayoendelea nchini Kenya. Kwa matokeo haya Tanzania Bara imetupwa nje rasmi.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Taifa LA Zanzibar litatuwakilisha vizuri watanganyika mpira magazetini na kwenye vyombo vya habari

alikhalfan
Автор

daaah bora tu ukasikiliza habari za babu seya kuliko mipira kama hii itakupa na presha ukawa na mawazo mwishoe uishiwe na nguvu za kiume bure

abdulshaban
Автор

Asitafutwe mchawi sisi yetu majungu mpira tuwaachie wenye mpira wao, naiombea zanzibar itung'arishe vyema.

mirajicharles
Автор

Timu hiii ya kili stars hakuna total commitment kwa wachezaji

jumannekashindye
Автор

#zimbwe imekuaje Leo magoli yote yametokea kwako

jofreyadriano
Автор

Hafu tuache usimba na uyanga watanzania

jumannekashindye
Автор

manina usenge tu kila siku sie ni kichwa cha mwenda wazimu

erickhaule
Автор

Hapa porojo nyingi hakuna mpira tanzania bara

mzamirumkande
Автор

Namkumbuka gadiel Michael. huo usimba unaweka watu wasio na viwango Mohamed Hussein af goli zote zimetokea kwake

stephenhaule
Автор

Wachezaji tunao wazuri ila tatzo lipo kwa mwalim

honestmeela
Автор

Si bora wangewapeleka Serengeti boys tu wapate uzoefu kuliko timu ya hiyvo hivi

mafiaclic
Автор

Nilisema hatuna kocha hapa si mmeona?

emmanuelcheyo
Автор

Matatizo yapo kwa ndugu zangu wa bara ni beki za kati na sio kushoto kwa Zimbwe Jr

sikandarsuleimanTV
Автор

wehu tu nyie kazi singeli za uswahilini na tff yao

danielpius
Автор

Zimbwe kachez vzr 2 ...jumla timu yote leo imechz vzr sema bahati mbaya tu

haridymohamedy
Автор

Kushoto kubovu, napengo layondani pia limeonekana

ramajabir
Автор

Mimi Nina miaka mingi niliacha kufuatilia soka ya hapa nikahamia EPL na klabu yangu ni Man utd. Soka letu utapata presha tu!!!

samsonmwijage
welcome to shbcf.ru