Je, Unaamini Katika Kunena Kwa Lugha (speaking in tongues)?

preview_player
Показать описание
Katika Matendo Ya Mitume 2:38,” Petro akawajibu, “Tubuni, mkabatizwe kila mmoja wenu abatizwe kwa jina la Yesu Kristo, ili mpate kusamehewa dhambi zenu. Nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.” Je, unaamini katika kunena kwa lugha?
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mungu asante sana jana nimeshagazwa na kunena kwalugha sija wahi nena kwaluga lakini jana mungu kanifungua

NuruCharles-gi
Автор

Na Mungu akufunulie neno lake takatifu katika kitabu Cha 1 Wakolinto 14:14, 1Wakolinto 12:3.

gwakmwakalibule
Автор

si rahisi kuweza kuelewa neno la Mungu isipokuwa mtu amejazwa roho mtakatifu. Roho in nguvu iwakayo ndani

gwakmwakalibule
Автор

roho wa Mungu huweza kupokelewa na wale tu walio tayari...na ulimwengu hauwezi kumpokea ila tu wale wanaotambua uwepo wake.

chalajisamson
Автор

Nimekufuatilia kwa makini sana, umejitahidi sana kuupotosha ukweli, ama kwa kujua au pasipo kujua ufanyalo. Kwa kifupi haujui kile Biblia inasema kuhusu kunena kwa lugha, ninawasiwasi pia kuwa wewe siyo Mkristo!

lusajoyotham
Автор

Ufahamu wako katika hili ni mdogo hujajenga hoja na Unafanya hitimisho kwa maneno ya ukali bila hata wewe Mwenyewe ukiwa siyo mkristo

ernestbarambilwa
Автор

Kama kunena kwa lugha ni karama ya Roho Mtakatifu kwa baadhi ya waamini mbona siku ile ya Pentecoste Biblia inaonyeshwa kuwa wote walijazwa na Roho Mtakatifu na wakasema kwa lugha kama Roho alivyo wajalia kutamka? Tatizo lako ni kutojua tofauti kati ya kunena kwa lugha kama ishara na kunena kwa lugha kama karama ya kujenga kanisa. 1 kor 14 huonyesha tofauti hiyo. Mtu anaponena kwa lugha hasemi na watu bali husema na Mungu. Lugha hii haikutolewa ili kuwasliana na watu bali kuwasiliana na Mungu aliye Roho. Yesu anatwambia Mungu ni Roho na huabudiwa na mtu wa rohoni. Huwezi kuwa mtu wa rohoni mpaka ujazwe na Roho Mtakatifu. Mtu anaponena kwa kupitia karama, ule unakuwa ni ujumbe wa Roho Mtakatifu ktk lungha yakiroho kwa kanisa. Na ili ujumbe huo ujulikane karama ya kutafsri lugha hufanya kazi hiyo kupitia kwa mnenaji huyo Hugo au mtu mwingine. Ndiyo maana Paulo anatoa utaratibu kwa kanisa. Ushauri wangu ni kuwa unapokuwa huna ujuzi au uzoefu wa kitu usijaribu kukiundisha. Hujui kusoma na kiandika utamfundisha nani kusoma na kuandika. Kama umempokea Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wako tafuta Mungu ili ubatizwe ktk Roho Mtakatifu na siyo kupinga kunena kwa lugha. Wewe kukataa Roho Mtskatifu na kazi zake hakumfanyi asitende.

MRSWNDA
Автор

Ukiwa ni mkristo na hauna Roho ya Kristo, unafanya kazi yanani? Kama wewe unafundisha suala la kunena kwa lugha, elewa kwamba lugha ya Mbinguni inakodi zake ambazo mashetani hawana.Kama utajivunia kunena kwa kifipa, kiswahili, kiingereza sawa.1Korinto14... hakuna NAMNA YA WEWE KUONGEA NA MUNGU Kwa Kiswahili, kilatini, kijeruman, kifaransa, nk. mashetani wasikusikie.KAMA HAUJAMWAMINI YESU..TAFAKARI CHUKUA HATUA.WOKOVU SIO SIASA!DINI YAKO NI CHAMA KAMA VYAMA VINGINE VINGI TU, NA DINI YAKO IMESAJIRIWA KWA MKATABA KWAMBA ITATII SHERIA ZA NCHI NA KULIPA KODI.ASANTE YESU.

japhetathuman
Автор

UKRISTO UKIKUSHINDA NENDA UKAFUNDISHE MSIKITINI WEWE.NENO LA MUNGU LIKO WAZI SANA. 1 Corinthians 14 :: NIV. Follow the way of love and eagerly desire spiritual gifts, especially the gift of prophecy. For anyone who speaks in a tongue does not speak to men but to God. ... He who speaks in a tongue edifies himself, but he who prophesies edifies the church.

japhetathuman
Автор

Hiyo lugha pengine ni lugha ya Taifa ambalo wewe hulijui au ya malaika?.Huwezi huwezi kuhukumu hivyo habari za Roho.Cha msingi ni Kuzijaribu hizo Roho.(Mitume pia ni karama imetajwa hivyo inaendelea ...umwisho hapo hujauelewa)
KUNENA HATUJIFUNZI....MWALIMU NI MANENO YA LUGHA...VIPI LUGHA ZA MALAIKA?(UTAJIFUNZA?)....HILI SOMO JIFUNZE ZAIDI.

yohanampangule
Автор

bado huajua maana yake ukijua utaona raha yake zipime basi hizo roho

deboraadam
visit shbcf.ru