ROBOTI SUZANA S2 |Episode 7|Mwisho

preview_player
Показать описание
#cartoon #viralvideo #clamvevo #animation #swahilianimation #ramadan #comedy #ramadhan
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Wakwanza leo from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 like zangu jaman 10 tu

IssaMussaMussa
Автор

Kazi nzuri sana🎉🎉🎉like yangu ata 10 jamani from Mozambique

IsabelFelipeNhakunhaku
Автор

Hakuambie toka hakufukuzi mfukuze mwambie toka kwenye kampuni yangu fukuza toka mwambie aondoke fukuzeni toka toka gani ya ajabu ila KITUNDU 😂😂😂🙌🙌

Mashotohamza
Автор

Waswahili wanasema "mkataa pabaya pema ni pazuri

Pema gani panamsubiri

Subiri pabaya pema

Mahala pema peponi😂😂

Kitundu wa Kenya 🎉🎉

slahvernickie
Автор

Wa kwanza❤ weka like Kama una kubali sana iyi kazi twende mbel zaidi 😊😅🎉

Seifbrown
Автор

Mi ndo wakwanza sicheki na kima ntaiona ya mwana😂😢😂😂😢

vyosenaboy
Автор

Kitundu ukiwa una ongeya misemo anza na kuwi nyosha kwasababu nyingine uwa Zina tupita 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🙏🙏

PascalIlunga-jk
Автор

😂😂Mbona imeisha vibaya jamaniii 😂😂SUZANA anamtetea shemeji yake 😂😂Ila Kitunduu jamaniii misemo yake😂😂

Shadia
Автор

Nataka kumuona shemtoi akirudi qwa robot riders compan akamurudishe robot vizuri

josephihathoya
Автор

Mbona mwisho tayari nahatujaona varangati la shemtoi gerezani😂😂😂 unatukatisha utamu

CrsAlzaid
Автор

Sison 3 shemtoi robot Suzana ni kaĺi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

hafishsutihafish
Автор

Kitundu bwabwa kweli sasa yaishaje kimatope ivyo😂😂😂

MwanakuuBege
Автор

Aaah sijaamini kwamba yaisha tafadhali leteni season three tena hii imeisha haraka

josephihathoya
Автор

We boss tulia robot anamambo suzana. Kampenda kitundu 😂😂😂🎉😂😂🎉

LucyJacobLucyme
Автор

Imeisha pabaya kweli 😅.
Nilijua kitundu atarudi kusumbua kidogo

sultaniiyytv
Автор

Lete Muendelezo Hawa Shemtoi na kitundu washakuwa waganga❤

bishweko
Автор

Mbn imeisha kimangu mangu hivi please naomba utuletee 3 please 🙏 i really like this

SaidiMwanyumba
Автор

Alooh wahenga awajadanganya 😅 akwambiyae leo mi ndo namba moja

AllHakim.l
Автор

Shemtoiiii Ana vituko huyuu😂😂😂😂😅😅😅😅 kitunduu akili zako haziko sawa😂😂😂😂 mpaka Suzanne amesema

somoeyusuf
Автор

[11/04, 10:25 am] V̷S̷R̷ Victor: Mgagaa na wali hali upwa mkavu😂😂
[11/04, 10:27 am] Mjulio: Upwa mkavu mgagaa Hali wali maharage
[11/04, 10:29 am] V̷S̷R̷ Victor: Wali gani uliwe na upwa mkavu?
[11/04, 10:29 am] V̷S̷R̷ Victor: Upwa hauli wali ukigagaa mkavu
[11/04, 10:35 am] Mjulio: Kitundu mie nimechoka kula wali mkavu

mightyjulio