Magoli | Yanga SC 4-1 Azam FC | Fainali | Ngao ya Jamii 11/08/2024

preview_player
Показать описание
Magoli matano yamefungwa, Yanga ikishinda 4-1 dhidi ya Azam Fc katika mchezo wa fainali #NgaoYaJamii2024 ikipigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar s Salaam.

Magoli ya Yanga yametoka kwa Prince Dube 19', Yoro Diaby 28' goli la kujifunga, Stephane Aziz Ki 31' na Clement Mzize 90’+3 , huku Azam FC wakitangulia kwa goli la Feisal Salum Feitoto 13'.

Haya hapa magoli yote......
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Good Evening All Soccer Lovers . I must admit all the soccer teams in Tanzania are playing beautiful brand of football and most of all, the supporters are super notch. They loved their football. You can't find this kind of support in South Africa except the big three. Pirates, Chiefs and Sundowns.. But still Tanzanian you're the best keep up the good job. 🔥🔥🔥🔥🔥

JabulanyMadonsela
Автор

March 2025 hapa, bado inapendeza vibaya mnooo🤗🤗

ahmadnasibu
Автор

Mimi n Simba Damu damu lakin kwa YANGA hii, hapana 🙌

Dismasbccmiraclecenter-rvqi
Автор

Kama wew ni mwananchiii weka like apa😅😅

JamesLuwis-mkhp
Автор

Hii mechi ilikuwa kali saaana ❤❤ repeating sana kwangu 😂😂

babuumaeda
Автор

Clement mzize napenda unavyofunga mabao yako 💐💚💐🌻💛💛🇹🇿

MarycG
Автор

Hii yanga ni noma 🔥 msiishtumua azam kwa kufungwa maana wamekutana na timu bora Tanzania

ULTIMATEFOOTBALLTZ
Автор

mim nisimba lakin. yanga duuh nihatali sana

DanieliGibson
Автор

James Samwel, alifurahia sana goli la Azam alilofunga Feisal, magoli ya Yanga aliionekana amepowaaa!!! Pole James, join Yanga upate furaha, heshimu taaluma, Acha hisia zako binafsi

juliusmagoti
Автор

YESU Ndiye njia ya kweli na Uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini YESU na UOKOKE na Ulithi Uzima WA MILELE na uende Mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

amanmalima
Автор

Management ya Faisal wamsaidie katika suala la nidhamu. Mpira anauweza ila kijana ana dharau sana. Goli zuri la akili ila behavior itamharibia future yake. And as for Yanga, wamejipanga, hilo halina ubishi. Nimependa calmness ya Dube, kijana yupo kazini.

mariej
Автор

Hivi hii pasi ya goli la pili Max aliipiga vipi hapa imezungushwa vipi huu mpira Yanga wanajifunzia ulaya au wapi dah!

ramadhaninassoro
Автор

What a Match... Congratulations Yanga.❤❤

dianasamson
Автор

Sina ushabiki wa timu za bongo ila hawa yanga wapo vizuriiii sana

davidsika
Автор

Am from kenya but soon nitakuwa shabiki wa yangu Kali mno🔥🔥

PeterOkoth-wfnq
Автор

Sikiliza vzr watangazaj baada ya Goli la master KI 😂😂 ety OOOOH 😂😂 ad amecheka mwenyewe Hii yanga

rizikinaftary
Автор

Sawa lakini makonda yupo kweli hi 😢❤❤❤❤

mwitaprotus
Автор

Feisal anaregelea makosa Yale Yale ya kusherehekea mapema ona sasa mtoto umeutaka😂😂

l.marley_
Автор

Wanaosema hii misumari ya yanga ni continuous process acha like hapa

dungatv
Автор

Magolinya Yanga yaan daah love you Yanga yangu 💛💚💛💚💛💚

francesmpangwa
join shbcf.ru