Harmorapa afika Clouds Media, azungumzia ishu ya RC Makonda

preview_player
Показать описание
Msanii mpya wa Bongofleva Harmorapa amefika Clouds Media Group baada ya gumzo linaloendelea na kuyazungumza yafuatayo.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ndugu yangu Harmorapa Usuperstar Sio kuonekana kila Mahali kuna wakati watu wanatakiwa wakutafute, BADILIKA!

athumannambombe
Автор

Harmorapa hupitwii unakaba kila kona 😂😂😂😂😂

somalilandsimba
Автор

Hahahahahahahah hyu rapa hatar mwaka wake huu

shabanramadhan
Автор

Harmorapa bhana mzee wa kucheza na fursa

mjedengwapoizon
Автор

nimechekaje na hizi comments jamani...

badmanno.
Автор

Harmorapa sio Mtu wa mchezo mchezo yeye kwenye vita ndo anapeleka video

onesmonamfua
Автор

Hahahaaaa huyu jamaa sio kiboko huyu ni mamba yan yupe mbele mbele tu ety kaenda kupeleka video kik zko na zikubali homrap

kigambontv
Автор

Harmorapa unaweza kubeba ukuu wa mkoa hivihivi teh

mvandamedia
Автор

hahahaha Kijamaa kila kona kimooo duuuh

sudyreacts
Автор

anajua kitumia fursaa endeleeni kumcheka

OnlyRuky
Автор

alijua tu camera zitajaaa lazma aonekane tu

marijaniabdala
Автор

Harmo kiboko ya mabishow kweli maana du!

badboy
Автор

harafu we hamorapa bora makonda akufukuze dar urudi kwenu mtwala kiki hadi huku seee

erickhaule
Автор

Uyu mwaka ni wa gwajima na Hamorapa duuuh

rahmasaid
Автор

The legend HARMORAPA...Ebanaee huu mwaka wa kwako Brazza, ,kaza wewe kwa sasa ningekuwa mbali sanaaaa...

vvxdyei
Автор

Harmorapa kweli kiboko, huyu hata bunge kukitokea vurugu atakwenda kupeleka video yake

andrewmlamba
Автор

ivi ka Hormorapa ni kazee au kakijana, maana kanasura ngumu kama jiwe,

stanlecioussimba
Автор

ww makonde kakamate chamaki n'changa

eliyankavama
Автор

Wee dogo sasa unazdi hee, , , wee nani kakwambia makonda ndie aliekuja na bunduki hapo, , , askali ndio walishika bunduki unaboa bwana

shdm
Автор

Dogo ungepotezea utapoteana....hi Tz so yenyewe

sifasanga