HOUSE GIRL EP 01 | SEASON 2 | love story💞💕

preview_player
Показать описание
#bongomovie #housegirl
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Wale ambao tumemaliza ote season 1 na Bado tupo ote season 2 gonga like hapa

Sheymoviestore_
Автор

Nawapend wotee tulikua seoson1 mpk seoson2 sas hivi kam mnanipend na me like 1 2w♥️♥️♥️♥️❤️❤️❤️❤️

ShAMIMURASHIDI
Автор

Aya na mm nimewai like kwa ajili ya bby Kai mm apa kutoka Zanzibar❤

MauwaSuleiman
Автор

Wawuuuu hatimaye s2 imekuja nawapenda nyinyiyote akini muwongezeye muda

JamilaDushime
Автор

Jmn waomba like amjambo 2merejea tn seoson 2 wapenz wa zuu na Kai gonga like ap 😂😂

HyasintaWisdom
Автор

😂😂😂kwa wale ambao tunaona dada ake chiko ata mkumbuka zatiti like apa

ministerlightnessrobert
Автор

Jamani nilikua naisubili kwahamu pia sijachelewa nipeni like japo 10

AminaBakar-qx
Автор

Nimekuwa wamisho tu mm kila ckuu najitahidi kuchubgulia chugulia iliniwahii ilaa zeen mubarikiwe sana nawapenda sana tupo pamoja 🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️😘😘

aminahhuawei
Автор

Na mie jaman nipo bega to bega sema sijionyeshi tu nipen na mie like

shamsijuma
Автор

Wauuu Movies Ndio Ya Anza hau Ndio Ya endelea Ongerani Sana.. Hila Sania Anaonyesha Dalilizoto Zaeshima Anajua Kucheza Na Akila Za Watu Nlinukuu Maneno yake Akisema Kama Kupiga Magoti Ndio Heshima Basi Itakua kwake Ndio Kazi.. Na Vile Mamake Tasha Kwa Muonekano Alivyo Muona Shania Kumpigia Goti Amefurai Sana Sasa Kama Mama, Kashasema Wewe Unafaa Kua Mke Wa Mtu Ki mm Alivyo Amani Sha Mtu Mwenyewe Ni Mwanawe Tasha Nasio Mwengine.. Bt Mubarikiwe Sana Chatusubiri The Next Movies

KhamisJuma-nivk
Автор

Hongereni mnatoa Move kwa wakati🎉🎉Mnaopenda House girl like hapa.

Esther-gh
Автор

tulio anza na seoson 1 now tupo seoson two tugonge like apaaa

NeyHerman
Автор

Yan nyie nawapenda sana mnawahisha mnoo tim strong twend kazi

KhadijaRajabu-brzf
Автор

Wewe tasha bona unauliza kai mambo ya kendi, , , hyo sijapenda

EstherMutisya-rfqq
Автор

Ooh kmbe alie mkumbatia n mfanyakaz mwenzake, hapo sawa

JullianaEmmanuel-tmxg
Автор

Nimewah jmn mda wote nilikuwa naisubiria, Candi punguza hasira ww Kila kitu wapanik TU 😂😂😂😂😂

sharifanyumayo
Автор

Mashaallah kweli mambo moto hongereni sana kwa kazi nzuri tunawapenda sana

SikuJuma
Автор

Una sis ambao huwa tnachlew hamn hata like10

ferasto-
Автор

Ongereni sana jamani ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤naipenda sana house girl 👧

SimonSHUSCOP
Автор

Hongera sana kwa kuwahisha,
Lkn mgeongeza vidakika viwe vingi kdgo

PrettygirlPretty-ckdj
visit shbcf.ru