RAIS SAMIA 'AWA MBOGO' IKULU SAKATA LA WATU KUTEKWA 'NAELEKEZA WIZARA ZOTE'

preview_player
Показать описание
#UhondoTV #Uhondo
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nakuelewa vizuri sana Madam president ila namna unavo ongea kama nawe unamlalamikia mtu afanye toa tamko la jumla hao unao waongoz bila kuwa mkali kazi haiendi

elikanaernesti
Автор

Ya allah awahifadhi mama samiya na ndugu wote wa tanzania

RahmaToki-wp
Автор

Watu hawatekani misiba udhulia kuanzia kesho ndo utajua watu wanatekana

nicholausmahenge
Автор

Unakumbuka shuka kumekucha watu wanatekwa kilasiku leo ndio unajitokeza

mr.yahzadochuno
Автор

Hana maneno huyu mbwa wanawjuwa wanaowateka na kuwauwa watanzania

Abdul-ocul
Автор

Shida mama wahalifu unawajua na huwatumbui, watumbue hawa kinana, makamba, nape na bashe, kura yng nitakupa

HaulSidney
Автор

Umeenda kuhamisha wazanzibar wote umewapa kazi zote nyeti kumbe mkiwa na malengo ya kutumaliza. Kila mahali na wazanzibar kwahiyo watanganyika watoto wetu wamekuwa wa kungoja kuuwa hata kama wanatafutia maisha yao

christinenyagiro
Автор

Hiii nchi shida sanaa hawa ccm Raisi analalamika badala ya kuja na solution harafu tunaviongozi kweli viongozi walalamikaji?

clarencelazaro
Автор

Hawo waliokupendeza kuwa msaidizi wa raisi ndiyo walikusea na Kikwete anajigamba ati ndiye alifanya hivyo. Na wewe Kikwete mtapata laana kubwa na vizazi vyenu kwa haya yanayotokea katika Inchi hii hata wanaotakiwa kujihuzuru wameng'ang'ania tu utadhani wamekandishwa. Ni kwa sababu hawajamaliza malengo uliyowapa ta utekaji na kuuwa?

christinenyagiro
Автор

Huyu aliye sema shughulika nao mbona humtaji mama

obednyagani
Автор

Mungu akubariki mama shugulika na watekaji

salamwajeka-yosu
Автор

Vizuri mkuu wa nchi welldone we believe you too

MatikoMarwa-gm
Автор

Mama umechelewa Hawa watu wamekuwa sugu hatuwezi kutumia hela za walipa.kodi kuwalipa wauwaji

ElishaMwita-vz
Автор

Kiwango cha juu cha unafiki..anaongelea watu kujiteka ila haongelei kabisa yule aliyetekwa aliyepelekwa karakana ya kituo cha polisi osterbay hagusii kana kwamba hana taarifa.shame on you.

MickyMgeri
Автор

Mambo haya yote yanapotokea ni dhahiri shairi kuwa serikali ni dhaifu, viongozi ni dhaifu kuanzia na raisi mwenyewe. Unafiki bado ni changamoto kubwa kwa viongozi. Mpaka raisi na viongozi wengine watakapotekwa ndio kitaeleweka.

deogratiaskatinda
Автор

dah! MWENYEZI MUNGU atusaidie hili janga maana hivi vyeo kumbe ndio vinavyosababisha haya😢😢

allykassim
Автор

Mama toa kauli za kirais usiongee kinyonge ww ndio mkuu wa nchii

maryMuna
Автор

Mama watekaji unao hapo hapo. Wapo police ambao wanamadaraka hayo na usalama wasio na utu na uzalendo

josegambi
Автор

Angalau umelisemea .Tunaumia sana, mtu kupotea for ever.Inasikitisha sana.

FatumaSaid-tr
Автор

Kukopa na kuzulumu watu pia ni mafanikio utanzania ni CCM kuwa dino na wanaccm kuwa ni miungu watu

AbdulhaamidSoud