MUNA AZIMIA! Mapokezi ya PATRICK Airport

preview_player
Показать описание
MUNA AZimia, Mapokezi ya PATRICK Airport

Mwili wa Mtoto wa Muigizaji Muna Love anayefahamika kwa jina la Patrick umewasili katika uwanja wa Ndege wa Mwl Nyerere ukitokea Nairobi Nchini Kenya alipokuwa amekwenda kupata matibabu.

Baada ya kutoka Airport mwili huo unatarajia kupelekwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa ajili ya kuhifadhiwa na mapema kesho utatolewa kuelekea katika uwanja wa Leaders Club kwa ajili ya kuagwa na kisha kuzikwa katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

"MUNGU AILAZE ROHO YA PATRICK MAHALI PEMA PEPONI"

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Pole sana muna, Mungu azidi kukutia nguvu, pumzika kwa amani MTOTO. Tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi

rechomakungu
Автор

Oooi yauma kweli tufute machozi mungu wetu ...pumzika kwa amani pat😭😭😭😭

carolinethuo
Автор

Innallilah Wainaillaihi Rajiun yy mbele nyuma yetu itafwatia Inshaallah Allah Amlaze pema peponi Inshaallah 😢😢😢😢

yaaishbaybe
Автор

Huyo muna co mtu wa kuhojiwa kwa xaxa ebu mpumzisheni mdada wa watu#rippatrick

amainarasheed
Автор

Pole sana kweli muna kwa kumpoteza kijana wako ambaye angekuwa shujaa ktk myimbo za injili

esperancesumaili
Автор

Nyie waandishi Wa habari ni wakuda sana et muongee na muna mawil matatu ivi mnajua uchungu wakufiwa kweliii

jasmineahmed
Автор

Nashindwa kuzuia machozi kutiririka 😭😭😭😭😭😭😭😭😭pumzika kwa amani Patrick 🙏🙏🙏.Pole sana Muna.

tumajuma
Автор

Jaman inaum xan nlikimbka kalivoimb wimbo mmoja unaitwa sitabaki jaman nilivo kila nafs itaonj umauti rest in peace young angel patrick bt this is more than pain

queengee
Автор

Pumzika kwa amani mdogo wangu nimeumia sana japo skujui

shamsaabdalah
Автор

May you shine on you're way son😢😢..

lydiasalama
Автор

Pole muna mungu akutie RIP mtoto Patrick

hamdanmubarak
Автор

anaona haya kamkosea Mungu kwa kumkataa mume (R. I. P

maulidyussuf
Автор

R.I.p baby boy tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi

monicahjared
Автор

Uuu....nani anakata kitungu hapa jamani..
😭😭😭😭😭

lydiaaruba
Автор

Najikuta kulia kila nionapo habari ya Patrick pumzika kwa amani

amileyissa
Автор

Mhh inauma sana watangazaji wetu kweli hawako na heshima utaongea nae nini muna akiwa yeye ndio mfiwa wa mtoto

saidkaoneka
Автор

Muna hataki kuhojiwa kwa manyago yake rip Patrick!!

maxlattinokiki
Автор

Huyu mnamuita muna kaua mtoto wake Kwa uzembe wake. Mtoto magonjwa unamtoa hospital . Umepewa hela ya ndege na Baba wa mtoto Unapanda basi. Mtoto amefariki unarudisha Kwa ndege.. umalaya mtoto anakuwa na Baba wengi ili akusanye matunzo kwotekwote .Aibu atajificha wapi

danfordaugustino
Автор

Tujaribu kufuata ethics za uandishi. Wenzetu Kenya wanapiga hatua. Hata kama ni tabloid jaribuni kuangalia situation. Kuwalazimisha watu kuongea wakiwa katika hali ya majonzi ina maana hamjasoma Media ethics kipengele cha respecting to dead body and aggrieved. Tujaribu kubadilika.
Chakushangaza zaidi hata wasio na elimu ya Uandishi wa habari wanashangaa. Tusiangalie biashara tu.
Binafsi sijafurahia hiyo situation. Mtangazaji anatangaza kama kuna uzinduzi wa kiwanda kumbe ni msiba. Jamani nimewasilisha.

BongoVivaMedia
Автор

Poleni sana jikase dada mngu ndio upeyana na ndio ujukua

zennymwauraliza
visit shbcf.ru