filmov
tv
TBC1: Polisi Kigoma ILIVYOUA Majambazi Watatu!

Показать описание
TBC1: Polisi Kigoma ILIVYOUA Majambazi Watatu!
JESHI la Polisi Mkoani Kigoma limefanikiwa kuua majambazi watatu kati ya watano waliofanya tukio la unyanganyi wa kutumia silaha za jadi kwa kuteka gari aina ya Land Cruiser linalohudumia wakimbizi katika Kijiji cha Nyarulanga, Kata ya Busunzu, Wilayani Kibondo.
Akithibitisha kutokea tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoani Kigoma, ACP Martin Otieno amesema majambazi hao waliteka gari hilo linalomilikiwa na Shirika la Good Neighbour na kupora mali mbalimbali ikwemo laptop, simu na fedha ambapo thamani ya vitu vilivyoporwa ni zaidi ya laki tatu.
#TBCHABARI
JESHI la Polisi Mkoani Kigoma limefanikiwa kuua majambazi watatu kati ya watano waliofanya tukio la unyanganyi wa kutumia silaha za jadi kwa kuteka gari aina ya Land Cruiser linalohudumia wakimbizi katika Kijiji cha Nyarulanga, Kata ya Busunzu, Wilayani Kibondo.
Akithibitisha kutokea tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoani Kigoma, ACP Martin Otieno amesema majambazi hao waliteka gari hilo linalomilikiwa na Shirika la Good Neighbour na kupora mali mbalimbali ikwemo laptop, simu na fedha ambapo thamani ya vitu vilivyoporwa ni zaidi ya laki tatu.
#TBCHABARI
TBC1: Polisi Kigoma ILIVYOUA Majambazi Watatu!
Polisi Kigoma yaua watu watatu wakishukiwa ni majambazi
Jeshi la Polisi Kigoma limethibitisha kuua majambazi watatu
Polisi waua watuhumiwa 12 wa ujambazi, wadaiwa kutokea Burundi
Watu wawili wanaosadikiwa kuwa majambazi wauawa Kigoma.
TBC1: RPC Amvaa Zitto Kabwe 'Toa Ushahidi hadharani'
Risasi ‘zarindima’ kwa dakika 30 Kigoma, saba wafariki
TAMKO la POLISI Kuhusu MAUAJI Kigoma 'Tutawalaza Wote'
TBC1: Waziri Mkuu Kutinga Kigoma, RC Afunguka 'Atakutana na Wakimbizi'
Polisi DSM 'ILIVYOUA' JAMBAZI SUGU LEO, MAMBOSASA ASIMULIA 'Walitujaribu'
TBC1: Jeshi la Polisi 'LAKIRI' Kumbambikizia Kesi Mtu!
MAJAMBAZI SUGU WAUAWA, WENGINE WAKAMATWA- 'Tupo Vizuri'
TBC1: MAJAMBAZI 5 WAUAWA MKOANI RUVUMA!
GLOBAL HABARI MACHI 26: RPC Asimulia WALIVYOUA Majambazi 5, Wakakamata Silaha
GLOBAL HABARI FEBR 16: Mbivu, Mbichi, Ziara ya Waziri Mkuu Kigoma
POLISI YAUA MAJAMBAZI SABA DAR
POLISI DSM YAUA JAMBAZI HATARI
MAJAMBAZI Wauawa wakirushiana RISASI na POLISI/wamekutwa na silaha za kivita/Wengine wametoroka
TBC1: RPC MWANZA 'Mtu Akiingia Polisi Analia, Atoke Anacheka'
UNYAMA; MJAMZITO, WATATU Wauawa Kwa KUKATWA MAPANGA, Serikali Yataja Chanzo 'USHIRIKINA'
SHIKAMOO POLISI, Yadaka MAJAMBAZI Sugu DAR, Mambossasa Aelezea tukio nzima mwanzo Mwisho
Jambazi mwenye mikosi tele Marekani
TBC1: 2 MBARONI KWA KUPOKEA RUSHWA KIGOMA
TBC1: RC MAKONDA Kama Rais MAGUFULI, Atoa Elimu Buree!!
Комментарии