filmov
tv
Bobi Wine : ''Nia yangu sio kumng'oa Yoweri Museveni madarakani tunataka uhuru Uganda''

Показать описание
Mwanamuziki mashuhuri wa Uganda ,Robert Kyagulanyi kwa jina Maarufu Bobi Wine ambaye pia ni Mbunge amekuwa akielezea kupitia mitandao ya kijamii masaibu na mateso anayodai aliyopitia alipokamatwa na kuzuiliwa katika kambi ya kijeshi mwezi uliopita . Lakini sasa Bobi Wine amefanya mahojiano ya kipekee na Idhaa BBC akiwa hospitalini Marekani na kuelezea yaliompata.
Katika mahojiano hayo na Zuhura Yunus mwanasiasa huyo wa Uganda, Bobi Wine pia anafafanua ajenda yake ya kisiasa.
Katika mahojiano hayo na Zuhura Yunus mwanasiasa huyo wa Uganda, Bobi Wine pia anafafanua ajenda yake ya kisiasa.
Bobi Wine : ''Nia yangu sio kumng'oa Yoweri Museveni madarakani tunataka uhuru Uganda...
Bobi Wine warns government on youth unemployment
Straight Talk Africa Bobi Wine w Final words to Uganda's Youth
Bobi Wine says he will return to Uganda despite impending treason charges
Exclusive interview with Ugandan MP Bobi Wine
Bobi Wine kuwania urais mwaka 2021
Journalists receiving threatening phones calls for covering Bobi Wine
Mgombea urais wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine bado anazuiliwa
'Siogopi kurudi Uganda' Bobi wine atoboa yote kwa Zuhura Yunus wa BBC
Mbunge wa upinzani Uganda (Bobi Wine) awekwa rumande hadi Agosti 30th
Bobi Wine withdraws case to challenge January's general election results | Bottomline Africa
Serikali ya Uganda yapinga kupigwa kwa Bobi Wine
#BREAKING: BOBI WINE AKAMATWA na POLISI UGANDA, KOSA LAKE ni HILI..
Bobi Wine bado ‘si huru’, aachiwa na kukamatwa tena
Bobi Wine awataka vijana kupigania haki za binadamu
Bobi Wine arejea Uganda
Bobi Wine kurejea Uganda leo, maandalizi makubwa yafanywa nyumbani kwake
UCHAGUZI UGANDA/MUSEVENI KUKUTANA NA BOBI WINE TENA
Bobi Wine ayapinga matokeo ya uchaguzi ya mapema
Hujachelewa kufanya yaliyo sahihi kwa Waganda Bobi Wine amweleza Museveni
Mwanamuziki na pia mbunge wa Uganda Bobi Wine
Bobi Wine ateuliwa kugombea urais ashikiliwa na polisi
DEREVA WA BOBI WINE AUAWA KWA KUPIGWA RISASI
NI MUSEVENI AU BOBI WINE UGANDA?? USHINDANI MKALI
Комментарии