MCL MATUKIO: KUMBUKIZI MV BUKOBA MANUSURA ALONGA, SUGU ASIMAMISHA BUNGE DAKIKA KADHAA
Комментарии
Tumesha powa iha asante sana ndugu zetu wa Tanzanie 🇹🇿 kwa ku tufariji 🇨🇩
EmmanuelMurhula-jbcb
Poleni sana ndugu zetu wa Congo.MUNGU awape subira. From TANZANIA.
allymwinyi
From Switzerland 🇨🇭 poleni sana wa Congo kwa msiba uliotokea, Mungu awape subira kwenye kipindi hiki kigumu kwenu, na pia poleni wana familia waliowapoteza wapendwa wao mungu awatie nguvu 03.10.24.
mariamfritsi
Poleni sana ndugu zetu. Manahodha zingatieni taaluma zenu msizidishe viwango ambavyo chombo hakiwezi stahimili. Mungu wetu sote AMINA
mo_zillaa
Asanteni san ndugu zetu wa tz 🇹🇿kwakututia nguvu ndugu zenu 😭😭😭
dogorich-fzyr
Poleni saana ndugu zetu wakongo Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu
ISAYABUCHINDIKA
Poleni sana watu wa Kongo, Mungu awe nanyi katika kipindi hiki kigumu mnachopitia, poleni sana, from Tanzania
charlessamson
Asante sana ndugu zetu mutupao pole, tumesha powa.
lightcelebrationgroup
Mungu maliza vita; Pole sana wanao kimbia makwao kukimbia vita, pole ndugu mliopoteza wapendwa wenu. Mungu ibariki Africa na watu wake🇹🇿🇨🇩
DumaBeatus-yzmu
From TZ
Poleni sana ndugu zetu wa Congo
aleteliusndunguru
Mungu wetu atuhufumie. Wanakimbia vita wasife wanakufa maji. Mungu wape pumziko la amani. Amina.