#LIVE: TLS YA RAIS MWABUKUSI WANATOA TAMKO KALI MUDA HUU

preview_player
Показать описание
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE Youtube Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ahsante Mwabukusi kwa kuactivate kazi za TLS, wengi hatukujua TLS ni nini na inakazi gani. kwa muda mfupi tumeanza kuona matunda ya TLS.

markombilinyi
Автор

UBARIKIWE SANA NDUGU RAIS MWABUKUSI..HONGERA SANA..MIMI NA FAMILIA YANGU YOTE TUNAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AKULINDE NA PIA AKUPE AFYA NJEMA..TUNAKUPENDA SANA.❤❤❤

amurimafimbo
Автор

Mungu ni mwema, kumpata mtu huyu ni baraka kwa tusio na sauti.

oliviaseth
Автор

Haki haki haki. Mungu wetu ni Mungu wa haki toka enzi na enzi. Amen!

Sonofsoi
Автор

Yani Mungu ni mkubwa sana kwetu watanzania tumepata kiongozi bora sana tumtumie

innocentmlacky
Автор

Mimi nilikuwa nafahamu kidogo kuhusu section 4, kwa sasa ninaiona TLS kuwa kimbilio la watanzania, Mungu awape ujasiri Yuko pamoja

fabby
Автор

Nimefurahi sana huyu jamaa kuwa rais wa TLS sifa yake kubwa hapendi ubabaishaji

RenatusMatungwa-oc
Автор

TLS congratulations for incredible Kuweni na tahadhari kubwa kwa kinachoitwa wasiojulikana (unknown people existing in this state).

fabianmahenge
Автор

Tunataka wasomi wenye kujitambua kama ninyi hivo mungu ibariki Tanganyika❤

madamajohn
Автор

TLS, ina mambo mengi ya kutupa majibu ya kisheria pale yunapokosa majibu kwa mfano:-
1. Je, sheria inasemaje kuhusu upotevu wa fedha ya umma kama unavyobainika na CAG?
2. Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU, Ina faida gani kwa umma kama wezi waliobainishwa na CAG, hawawezi kuwashughulikia?
3. Mikataba mingi tuliyoingia tuko kulipa hasara ya faini iliyotusababishia. Je, si vema sasa kutaka mikataba yote irejewe na TLS ili ihakikiwe uhalali wake, kuliko kuendelea kuifumbia macho na kutusababishia hasara?
4. Kuna rasimu za katiba kama tatu hivi serikalini, je, sheria inasemaje pale serikali inapokataa matakwa ya watu?
Ni tumaini langu kuwa TLS itatusaidia kutujibia maswali tuliyonayo kisheria.

EarnestMwangombola
Автор

Kimbe TLS ni ni jicho au ni mbadala wa bungee jaman TLS OHEEE we love you mabukusiiii
Afya yako istawiii

innocentlethisia
Автор

TLS bora tunaanza kuiona.section 4 now

muhsinyusuph
Автор

Wakili msomi raise wa tls mtu wa mungu kweli unajenga taifa juu ya elimu unayoitoa Kwa umma juu ya Sheria za nchi tunakutakia heri ktk harakati hizi

AnthonyRutakwa-bj
Автор

Mungu akuongoze papo abandu haba bakanjakanunu uje masso

SubiranTimo
Автор

Bm Rais wetu hili ndilo kusudi la MUNGU kukuweka hapa watanyoka hawa, ww ndiyo mkombozi kwa Watanganyika na hakika Tanganyika inapata uhuru kamili, tunakusubiri siku chache uwe Rais wa nchi ya Tanzania/Tanganyika.

plujoncylugano
Автор

Watanzania ni kanuni hawasomi. Na hadi ikatamkwa kwamba ukitaka kumficha kitu mtanzania weka kwenye maandishi. Naam bwa. Mwabukusi una kazi kubwa sana ya kuwaambia waandishi wasome. Kama ilivo kwa watanzania wengine nao hawasomi na infact kiuandishi ni kwamba kanumi inamtaka mwaandishi habari asome/ajihabarishe vya kutosha kabla ya kwenda kuandikia jambo (prepare and umderstand if not fully but to a good extent the issue you intend to make coverage). Matokeo ya kuto kusoma, waandishi wakija kwenye tukio la msomi kama huyu wanauliza maswali yasiyo na viwango hadi Mwabukisi anawashangaa na anawashauri wakasome! Otherwise hongera sana rais TLS, kupitia msimamo wako, umma utapata sehemu nyingine ya kwenda kufutwa machozi.

stewartdyamvunye-wzrn
Автор

Mwabukusi cc kama watanzania na wapenda TANZANIA TUNAKUELEWA NA SI HILO TUUUU MUNGU MUNGU MUNGU AKUPE AFYA NJEMA NA UMAHIRI ILI UTUFIKISHE PAHALI PEMA

innocentlethisia
Автор

Wakili msomi BM.Mh Rais wa TLC wape somo hawa hawajui wanajua lzm washike adabu, maana wanajifanya viziwi na vipovu huku wakijua wanavunja msingi ya sheria .

plujoncylugano
Автор

Kumbe waziri hana mamlaka ya kufuta vijiji loooo😂

kibwetere
Автор

Ivi hakuna njia m'badala ya kuwaburuza mahakama za kimataifa maana vinginevyo hakuna muhafaka utakao wafamya wananchi wa ngorongoro wabaki apo wataondolewa tu ivyo naomba isiwe siasa wasaidiwe hao wamasai wabaki kwenye ardhi yao

hamisimwinzagu
welcome to shbcf.ru