Alichokisema Moses Phiri Atoa Tamko zito kuhusu kusajiliwa Simba Dirisha Dogo la Usajili
Комментарии
Ligi ya kipumbavu Aina wadhamin Yani mtu mmoja anazamini virabu sita 😂😂😂😂😂
abubakarishariff
HAPO UNAULI SWALI GANI UKWELI SOTE TUNAJUA YANGA WALIKUWA NA MADUKA NDANI YA SIMBA ❤❤❤❤❤
AmurJecha
KAKA SIASA IMEHAMIA KWENYE MPIRA IMEHARIBU MPIRA WETU UKIHOJI SANA UTAPELEKWA KUSIKOJULIKANA NYAMANZA KAMA UNAIPENFA FAMILIA YAKO
SophiaWanene
Hii haikubaliki TFF walifanyie kazi timu 6 na yeye anatimu yake inashiriki humo humo
moudyhamisi
Ndomaanasimba Simba anapitia wakati mgumu nakila akisajili apatazania anapewa pingamizi basi tff watuambie kuwa atupaswi kusajili tazania tukasajili nje bilaivyo migogolo haitaisha
FabiolaTriphon
Tff wanafanya makosa makubwa ya kuruhusu yanga kudhamini timu 6 ni kinyume na maadili hawawezi kukwrpa lawama. Ni rushwa na upangaji matokeo hawawezi kujificha kwenye kivuli cha kusaidia timu. Wanatakiwa kufuata utaratibu. 3:48
jonathansirkintungi
Nikwel wanatuhujum make tajiri mmoja team zaid ya 5 so kwel
mwitamalwa
Kusema yanga bingwa sio hoja ya msingi tambua unajibu swali kulingana na ubora wa team uliyo ulizwa, kwa ufupi kunatofauti ya mdhamin na mmiliki wa team, bodi ya wadhamin wahawana mipaka maana wao wanaweka lebo kwenye jezi yako kama tu mtakubaliana kwa mkataba na lengo kubwa ni kuitangaza kampun husika ambayo utakuwa umekubaliana nayo, shida washaona hawana team za kushindana na yanga na ukichunguza wanao lalamika ni madunduka! Hohohoho aisee achen siasa mpira ni mchezo wa wazi tengeneza team yako ikupe matokeo, shinda mechi zako pasipo kumsikilizia mpizani wako sasa ww unapigwa alafu unasema gsm ndio shida hohohoho huo ni umbulula mpira umekua achen na hauitaj siasa hizo
Izzoh
GSM Hana lolote mpira haupo Ivo, unatengeneza urahisi wa kubeba ubingwa wa kihuni.
yusuphpatrick
Timu zinapambana kupata wadhamini akina Magoma wako pembeni kuwaharibia. Sport pesa anadhamini timu ngapi? Azam anatimu lkn katika hii ligi nani hapati pesa kutoka Azam?
josephmwise
Tff ni mafisadi mdhamini mmoja haiwekani kudhamini timu zaidi ya moja hizo ni hujuma za wazi wazi
DullahNyoni-crfu
Hapana shidaa ya tff wajitafakari hiyoo ni njamaaa hizoo timu wanampa yanga point tatu kila timu
jacobwarieba
Mmi naona tff wanakula rushwaaa kabisa aiwezekani mtuuu moja kudhamini timuu hizooo ni njamaaaa kabisaa karia anajiaribia
jacobwarieba
Hakuna viongozi tff wote walarushwa niwezitu hawajitambui Wana utimu ndani wanaendeshatimu kimapenzi yavilabu vyao
khamisally
Hoja haina mashiko!! Mnaoleta hoja hiyo mbona hamtafuti wadhamini?
JosephJumbe-wh
Hawajibu ufukara na umasikini hapo kula yao na familia zao wanamtegemea gsm. ni watumwa wa matajiri
gorettimtungwe
Simba poa Wana uzamini wa GSM mana wakikutana Yanga wanapasuka
jumakibompile
Kweli TFF hawsko sahihi kabisa tena wstoke watuambie sheria hii Iko wapi?
ArafaMkomwele-vihp
Kaka umesema neno kabisaaa ndo maana juzi tumenyiimwa penat
JeniphaDaud-quib
Ukizamini zaidi ya clubu moja na huku unaclubu kubwa hapa mashaka yatakuwepotu tuseke ukweli