BABA WA KAMBO AMBAKA MTOTO WA MIAKA 12 NA KUMPA UJAUZITO

preview_player
Показать описание
Ni kutoka Dodoma ndipo tukio hili limetokea ambapo Mume wa Mama yani Baba mlenzi amembaka mtoto wa mkewe mwenye miaka 12 hadi kumpa ujauzito huku akimtishia mtoto asiseme

Fwatilia tukio hili hapa kisha utoe maoni yako

#geahhabibu #GeahTv #MatukioyaGeah
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ni dalili za kiama! Lazima tuone mengi. Allaah atunusuru.

Amina-bqxe
Автор

Hii laana itaisha jamani' mbona watu hawajielewi? Au kwa sababu watuhumiwa hawapati adhabu stahiki?

shakilamasoud
Автор

MUNGU wangu mimi 12 yrs 😭😭😭😭😭😭😭 hiii ni mbya Tena why amuingize dudu.mtoto hata kma ni wakumuzaa basi angemuonea huruma

chainbre
Автор

Uyoo mzee apigwee miaka 30 ya kummbaka + miak30 ya kumpa mimba mwanafunzi alee 60yake jera akapumzishe mbupu zake zakubaka wanafunz baba wakambo 60yrs please our government

africano.
Автор

Wanaume wanaume mtakufa vibaya nyie 😭😭 faida yahaya yte ninini

reginaphilimon
Автор

Subhaanallah, kila siku jipya eeee mungu nunusuru na haya mapepo

khadijahomankweliyamjahaya
Автор

Subhunah Allah 😭😭😭mm niliolewa nikiachika siwezi kumuachia baba ake mzazi wala siwezi kuenda nae kwa baba wa kambo wanaume sio watu Innahillah wainnalillah rajhun dunia imeisha Allah awape nguvu na mitihani hiyo 😭😭😭😭😭😭😭

mamymdogomamy
Автор

😭😭😭😭duuuu inatisha jamn hv vitu vipooo eee mungu tusaidie wasichan

thresherjordan
Автор

😭😭😭😭😭Msiba
Stara yarabbi na watoto wetu wa kiislam na wasio kua waislam pia stara yarabbi 😭😭😭🇰🇪

aishaaboud
Автор

Kwa mtihan hii ya dunia hivi mungu anaweza kutu ondolea corona jmn mungu wangu tupe mwisho mwema yailai😢😢

fatmamakalo
Автор

😭Wanaume kwani roho zenu zimefanywa nini Allah awalinde watoto wetu mana huu ni mtihani kiukweli

nas
Автор

Maumivu yasiyoelezeka 😭😭 imeniuma sana

minazsaid
Автор

Mmmh mtihani mkubwa hawatu nivile kesi zao hazitiliwi maana kama ingekuwa kuna hukumu kali hawangekuwa wanadhulumu watoto nimeumia sana achukuliwe hatua watu hawa hawafia hata kupewa dhamana ikiwa vielelezo vya ushahidi vimejitosheleza

remiomar
Автор

Jamani! Nilipewa story! Jikaka likambaka mtoto was dadake, Mungu bado anaendelea kuliadhibu hilo mbwabakaji

peteryukunda
Автор

jamn mung atuongz eeh rabbi tuhfadh mazito haya Mambo hatuyawez sie

fatmawaziri
Автор

Duuu shetani huyo baba mama kirahisi unakubali mtoto aje kwa babakamboo kwann hukujiongezaa jamani

nurafedrick
Автор

huo ni msiba mkubwa sijui tunaelekea wapi?

jumaasulaiman
Автор

😭😭😭 Subhanallah yarabiiii mung naumia nipo mbal na mwanangu yupo na Bibi na Baba yake wa kambo mung tusimamie mola wang

mouwanahamisi
Автор

Daaah hatar sna yani sisi mijanamume sijuw tunakwama wapi daaah wamkate pumbu tu

osmandemebele
Автор

Yani huyo baba nitapiga afee waka jera simpereki

kisalaTV
join shbcf.ru