KINA DAIMONDI)( paschal cassian)(official video musc

preview_player
Показать описание
#0766998994 #call0688199370 #0788871769
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hii nyimbo ilapaswa kuwa na views zaid ya m1 kam nikweli gonga like hap

aminatanzanya
Автор

Ubarikiwe sana kaka kwakumsapoti huyu mtoto Mungu yupamoja nanyi

PaulJohaness
Автор

Kila wimbo na majira yake kwetu Kenya Ruto pamoja na wakenya turudi kwa Mungu kabla yatendeke makubwa 😢😢

Elizabeth-ui
Автор

Barikiwa mtumishi wa Mungu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sauti ya mtu aliaye nyikani😢
YESU akutunze kaka yangu🙌🙌🙌🙌🙌

NeemaChessa
Автор

Kama unapenda nyimbo zake )paschal cassian) weka like hapa

Lawyechaneli-hh
Автор

Waliobarikiwa na huu wimbo kama Mimi nione likes zao hapa❤❤❤

Eschizotz
Автор

Ikumbukwe hata sisi amabao hatujatajwa tunahusika MUNGU ATUSAIDIE NA ATUREHEMU SANA 🙏🙏🙏

KellyKana-qt
Автор

Sauti ya mtu aliyae nyikani mwenye hekima na akili ndiye atafahamu maneno ambayo roho wa Mungu ayaambia makanisa.🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

bahatimaselo
Автор

Wakati wimbo unaanza sikuuelewa ila kadri nilivyo endelea nikagundua sio tu walio tajwa kwenye huu wimbo ndio wenye ujumbe huu, bali ni mimi nawewe tumgeukie MUNGU tuachane na njia zetu zilizo tupotosha

ivangasper
Автор

Kama unaamini huu wimbo unaujumbe kamili kutoka kwa mungu kuwaonya wasanii please usipite bila kunipa 👍 like 🙏

FadhiliMusic
Автор

shetani alidhani kakupata bongo star sarch kumbe BABA wa mbinguni alikuwa anamwambia shetani uliye tu! Hilo ni JASUSI LA MBINGUNI! Hongera sana Mtumishi Cassian ! MUNGU Azidi kukuinua kwenye huduma ya kumtumikia bila woga.

AdelinajescaOswald
Автор

Nakama vile watu walivyowekewa kufa mara moja na baada ya kufa hukumu.waebrania 9-27 ndugu zangu sikieni ujumbe huu baada ya kufa hakuna kutubu muda ndio huu

JacklineMroso-gyej
Автор

Nasikiya kufuta nyimbozangu nibaki tu na huu wimbo❤❤❤❤❤

VicramVicky-oj
Автор

Naisikia sauti iliayo nyikani
Amen ubarkiwe

AmosiSimbil
Автор

Wapende wasipende Injili wataisikia tu👏😁👏👏🙏

bernarderadi
Автор

Huuu ujumbe bila loho mtakatifu hauezi toboa ubalikiwe sanaa mtumishi 🙏🙏🙏

AlexSaninga
Автор

Mpaka nimeogopa nahisi huu mungu atautumia kama fimbo kwetu wote tuliousikia maana unaujumbe mkubwa

waziriasangalwisye
Автор

Mimi naomba nikuulize umejipangaje ndugu yangu, ushauri wangu kwako, Sali saana Mungu akusimamie maana umegusa panapo uma

qqpgjk
Автор

Hallelujah mtumishi wa Mungu barikiwa sana🎉🎉🎉🎉

petermaroaofficial
Автор

Wa Kwanzaa kuiona nyimbo hii ebu mpatien maua yake 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

AllenAlex-gz
welcome to shbcf.ru