Jumba la mizimu hatari duniani lilowapoteza watu zaidi ya 40000
Комментарии
Masha Allah Allah awalipe kheir Insha Allah kwa mafundisho mazuri
Da-crow
Shukran sana shehe leo nimefaham Mashaa allah .
aliarkam
Allah atupe mwisho mwema inshaallah jamii muslimina walmuslimat
fauzafauza
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu WADAU WA RIYADH na koo zima ya Riyadh Tv online znz
zayyatiyussuf
Asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu mm shekh nauliza wazazi kuozesha binty yao bt sikwa kadhi nikienyeji alafu binty azae watoto 7 alafu agundue yupo kinyume na Allah afunge ndoa baada ya watoto kuzaliwa bt mume ni huyo huyo je?nisawa atasamehewa na Allah
tumajunior
Shukran kwa mafuzo mazuri Allah akujalie umri wenye afya njema sheikh Allah atuswamehe madhambi yetu atujalie mwisho mwema kwa rehema zake nikisikiliza hii mawaidha ya mauti akili inazorota