NAFSI EPS 04

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Daaah huyu mzee anajua Kama kweli Yani analia hadi na mimi machozi Yana nitoka pole mzee mama kanumba nimshenzi Sana

levocatuspaul
Автор

nimechelewa ila sio sana kwababu nimeona kitu kipo vizur hongera sana brother

Bilichadieudonne
Автор

Kiukweli Brother K, kazi zako zinatuheshimisha Sana sisi wakutoka Kigoma hasa waha.

charlesmbonye
Автор

Mchelii unajua Sana kuigiza unajua saaana nakupendaga hasa ukiigiza Kama Msukuma

alimondbenson
Автор

Movie nzuri sana nayenye mafundisho jaribuni kutoa hata tatu kwa siku coz tunawafuatilia kwa san

amosikondo
Автор

MCHELE...ft...MOMBIBAAA
Hongereni

mpuyaemmanuel
Автор

Kama unamkubali brothy k tia like yako #wakalitz #sivamusictz

sivamusic
Автор

Ongeza Episode nyingine chap chap brother mobimba

emanuelsaimon
Автор

Mchili We Mwanaume Bhana Mchili 😀😀😀😀😀😀

athumanmgissasimbadamu
Автор

WATOTO hii nifundisho tosha tunatakiwa kuwa makini na maneno tunayoambiwa na mama zetu

ndimuligobikingwe
Автор

Brother k nakubali sana natamani mtoe episode kama 5 kwa pamoja kazi nzuri sana nawafatilia nikiwa zanzibar

godfreyjita
Автор

Mchele una act na hisia paka imenitia uchungu..pole xana inauma

mwanamisakulembwa
Автор

kiukwel ss wanaume tuna maadui wakuuu 3, nao Ni MALI, MKE NA WATOTO.

ndimuligobikingwe
Автор

Watoto tuwe tunachunguza kwanza kuliko kumsikiliza mzazi mmoja

hamisahamisa
Автор

Baazi ya wanawake wengine nikufuru kuwaoa kama huyu mm steve

allywilson