MISSION IMPOSSIBLE [29] SEASON 2

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Tusameheane kwa kuchelewesha, kulikua na shida ya mtandao

Chadomastafilm
Автор

Wangapi wamemsamehe Chado Master kutokana na Shida ya mtandao🎉🎉

Mmenga_junior
Автор

Team Aly dady mzee wa misumar tujuane


Tupo na Shem letu jojo tuna tamba nae❤❤❤❤🎉🎉🎉

NaasriRamadhani-cg
Автор

Bado masaa machache 2 mungu tujalie tuuone mwaka wa 2025 inshallah

ZulfahHassan-zj
Автор

Tulio Amia, kwenye penzi jipya Jojo, na mzee wamisumali tujuane

nasrangatanda
Автор

Jamani kweli mapenz konyo, pole kwako Chado, @poleni wote mnaopitia mateso na maumivu kwenye mapenz, mungu wa mbinguni awasaidie mpate majimbo yanayoeleweka nawapenda sana❤❤❤❤❤😂😂😂😂

benadethamwenda
Автор

Tumefika tarehe ya mwisho wa mwaka tukiwa salama ni jambo la kumshukuru Allah
Tujuane kwa like watu wa chado master ❤

lellymwavadu
Автор

Jaman mama gwengwe❤ popote ulipo nakukubali kinoma yani😘

ZahalaOmaly
Автор

Daaaah!! CHESI 𝕄𝔼𝔻𝕀𝔸 Respect, kama unamkubali Cheusi kuja hapa.

AfidhiRajabu-qf
Автор

Iyi movie hatali sana kila sku ubunifu unazidi kuwa mwingi kiukweli respect Sana 🎉🎉🎉🎉

ErickJonhfredy
Автор

Yani cheusi tangu uwaze umbea huu umenifurahisha sana hongera yako🎉🎉🎉

ShaziShazi-gpvd
Автор

Kiukwel najima umezngua kinoma kumsalt muhun bila kosa lolote duh Pole Sana mwenetu mapenz ndivyo yalivyo

DonathaSimon-uh
Автор

Mzee wa misumali unasmama kama kaka jmn I like😢🙌

mariammchiu
Автор

Heri ya mwaka mpya vipenzi mungu atujaalie tuvuke salam timu chado 🙏

SikudhaniSefu
Автор

Mzee wa misumari umeweza baba umeweza👏😂😂😂baba mama kiumbe chenu kinanitesa

ZuwenaHassani-yq
Автор

Wanaoitazama mission impossible mungu atujalie tumalize mwaka salama 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

Casmirors
Автор

Dah cheusi unauwa sanaaaa kwamba akitoka chado kifaru atasubiri

EdwintembaEvarist
Автор

Cheusi
Media kubwa wanao mkubaliii Naomba
LIKE ZANGU JAMANII😂😂😂

ShaibujummaKedder
Автор

Mzee wamisumali umenifanya nalia pole sna kidem jau tulia kakaako anakupenda sna

athmanswaleh
Автор

Chado master pole sanaaa, na saruti kwa cheusi media

BahatiMtandula