NYUMBA ya MREMBO huyu YABOMOLEWA na MPENZI wake baada ya KUACHANA.

preview_player
Показать описание
#HAS_BILLION
#MREMBO
#NYUMBA
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Safi saana.iyonipfunzo.lwanamke pumbafu.acha abomoye.amunyangaye kila alicho mupa.nampenda mwanaume uyo

salimajuma
Автор

Jamaa anahela pia ni mfanya biashara yuko sehem inaitwa nelsprit mpumalanga ndie capital city ya mpumalanga

hajilubwaza
Автор

mm naimani huyo kijana alimpenda huyo binti kwa sababu ya mazingira huyo binti aliyotengenezewa na huyo mwanaume mwezie, , , huo ndio ndio unaitwa mchezo wa pata potea na mtaka vyote hukosa vyote

pelesmwaipopo
Автор

Jamaa anahuruma sana, angemkatà shingo kabs

teddysulle
Автор

Pia wanaume mkomage kupokonya Mali za wake zenu na kupelekea malaya

jescajulius
Автор

Asinge vunja angemtafuta
Mlezi wa watoto yatima ange wamilikisha

chongolee
Автор

Bora kakomeshwa wanawake tuache tamaa na ukimpata anayekupenda mshikilie na anayekujali

mariamsuma
Автор

Wawakomeshe wajifuze kutafuta wadada waleo kupedavituyambule shida

wivinemwamini
Автор

Amefanya vby kuharib iyo nyumba bora angemunyang'anya akawagawia wasiojiweza akapata barak kwa mungu co vzr alichofanya.

jescajulius
Автор

Duniani ni mapito hakika nyumba magari Vito vya thamani vyote vitapita, tusiwaringie wanaotusaidia pia tujifunze kusamehe kwa wanaotukosea kwani ivi vitu no mapito

pendomarco
Автор

kitambo amujengee hizo vitu zote special nyumba mbona angemuoa mwanzo ila wadada wawache tamaa mimi pia sio mwaminifu mungu anisamehee kwa kauli yangu 🙏🙏🇰🇪🇪🇺

judithmelvinealuchio
Автор

Dah, jamaa alivofany ni safi sana nifunzo ilo kwa viruka njia wote

lucialeonard
Автор

Huyu mwanadada atakoma udaku waaa hiyo ni funzo.

sharinv
Автор

Kitu ya kweli kabisa mi niko hapa mpumalanga witbank

hajilubwaza