MCL MATUKIO: KABUDI AWASHUKIA WASAJILI VYETI, SHONZA AMPA NENO DIAMOND

preview_player
Показать описание
Mkemia mkuu wa serikali Profesa Samwel Manyele amewataka wadau wa kemikali kuacha kuangalia maslahi yao badala yake wajikite katika kulinda afya za Watanzania.
Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Paramagamba Kabudi amewataka wasajili wa vyeti vya kuzaliwa watoto chini ya umri wa miaka mitano, katika mikoa ya Simitu na Mara kufanya kazi hiyo kwa uadilifu.
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Juliana Shonza, amesema amesikia malalamiko ya mwanamuziki Diamond lakini hawezi kumjibu kwa sababu zipo taratibu za kufuata kama anaona hajatendewa haki.

Рекомендации по теме