DIAMOND Alivyomuomba ZUCHU MSAMAHA kwa UCHUNGU Akiri KUMSALITI na wanake wengine

preview_player
Показать описание
Haya ni maneno ya @diamondplatnumz akikiri kumuumiza mara kwa mara mpenzi wake @officialzuchu . Diamond ameomba radhi mbele za watu huku akimuahidi Zuchu kutomuuza tena
.
Diamond Platnumz anasema kuwa mahusiano yake ya nyuma yamemfanya asijitoe sana kwa Zuchu kwani ameumizwa sana na ilifika muda akawa anaogopa kuzama 100% kwenye mahusiano
.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
---------------------------------------------------------------------------------
---------------------------------------------------------------------------------
-----------------------------------------------------------------------------------
#Zuchu #Diamond
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Umri inaenda na wakati, Sasa Nasibu ndo anaongea 👏👏👏Next put a ring on it❤❤❤❤❤❤❤❤❤Hongera sana both

kimah
Автор

Diamond you are a true man! Men apologies when they do something wrong, You are a real man!!

BarbaraPatience-qtcc
Автор

He is not done yet Zuchu wake up see musicians girls outside Tanzania they're doing good think big aim higher u have a very long way to go. Wake up

vidawillis
Автор

Zuchu is the true lady of Tanzania am proud of her

phebvlymo
Автор

Msamehe zuu, tunawapenda sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️

shadiwaigwa
Автор

Ni kweli anatukwana sana juu Yako wewe😢

Tashie
Автор

Zuchu will break diamond until he will know that how it feels to be betrayed 💔 looks like

sharonahwilliams
Автор

Show ya jana iyo Kendwa nimeiyona ilikuwa pw sana zuchu kapiga sana shwoo mondi nae anampenda sana zuchu jamani

RechoBakar
Автор

Zuchu ujaliwe na akili na nguvu za kuwacha huu mchezo. Unahitaji mwanamme mwenye heshima kabisa

Caralina
Автор

Diamond and Zuchu the undisputed Coyle of East Africa

em_vee_josh
Автор

Mondi badilika ety me napenda uhusiano wenu na zuuh❤

adamuchenchere
Автор

Mwanaume siku zote kuomba msamaha ni kawaida ila Zuchu angalia mbele acha kudhalilishwa

jacklinelyimo
Автор

Zuchu utasameh leo, kesho, utalia, ulie na ulie tena diamond sio mwanaum wakupend ka mamy 😢ila pol

IrankundaAlia-si
Автор

Kuna siku Zuchu ataolewa…..na kijana mwenye hikma kama Baba yake.

awatifalghanim
Автор

POLE ZUCHU NI KUTUMIKA KWA KWENDA MBELE

bimumaulid
Автор

Lakin Simba wamuumiza mwenzio kwakwel ...lakin nawapenda Sana mukiwa pamoja

SofiaMwero
Автор

Zuchu achana na huyo malaya.ana kupotezeya muda wako bureee😢.Omba Mungu akutumiye Mume bora !!!

katsuvakamatedaniel
Автор

Ww tumekuzoe ni kuku wakawaida lakini zuchu atakuja choka siku moja

pendochimammy
Автор

Watu wakoment punguzeni ushari muenjoye mziki mzuri maisha yao mengine hayawahusu.😂

MwonekanoTv
Автор

Ameenda kumshika shika ukweni ningekua baba zuu hapo jukwaani pangechimbika 😢😢😢

noorrajpar