Apple iPhone 15 'Uzuri na Ubaya wa USB-C', SIO plan ya Apple

preview_player
Показать описание
#snashtz #technology #appleiphone
Apple iPhone 15 "Uzuri na Ubaya wa USB-C", SIO plan ya Apple
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kiuhalisia mimi sijaona kutikisika but changes ni kitu poa sana kwenye technology, halafu utofauti upo pale pale, as we see kwenye representation yao kilicho badilika ni charging system tu ila taabu bado ipo pale pale iPhone itabaki kua iPhone coz operating yake iko vile vile type c sio issue kubwa

beingmau
Автор

watengeze iPhone 14 kwa wingi sana, sihivo zitaadimika na kuwa gharama zaidi coz ndio soko litapo hamia hapo. snash watu hawataki wafanane na simu za ajabu ajabu.

borntown
Автор

Huawei mate 60 pro, review yake tafadhali🙏

kijeshiabdalla
Автор

Tukubali changes! Me naona Type C ni nzuri sana maana ni cable cheap na zinapatikana kiurahisi kuliko izo nyingine pia ziko compartible na a lot of Electronic devices. Ila lightning cable utatumia kwenye device za apple tu 😀

ericksilyvester
Автор

Si wanasema uwezi kuchanganya USBC ya Android phones haiwezi match na USBC ya Apple hii imekaaje?

herson
Автор

Kaka siku wafafanulie xbox microsoft watz waelewe maana hawana ujuzi na xbox

awadhiabood
Автор

mwenyewe naipenda lighting over type c, kwasababu iyo iyo ya kuharibika haraka, , , ukiikanyaga imeenda iyooo, , , sea katika data transfer type c is much better

herrwin.
Автор

Kaka fanya moja ya sony Experia 5🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻na kukubali san kak

jichoboy
Автор

Sidhani kama mwenye tecno ya 350, 000 ataweza kuichukulia poa iphone 15 pro max ya 5, 850, 000. Haya mambo ya sijui nini na nini ni ushamba tu wa kukosa hela na wengi wanaosema sijui heshima itashuka ni wale wanaotegemea iphonr used.

sultanjames
Автор

Tumesikia huawei wanakuja na simu yenye ubora wa hali ya juu, hyo sifa ya ubora ikoje?

Mundhir_Mohammed
Автор

mmmhh kwa typc C bro ngoja tuonee itakuwajee

josephfestus
Автор

Acha ninunue tu 14 pro max au unasemaje Mr #Snashtz

nasibuahmedy
Автор

Ukweli ni kwanba type c ni ya kishamba sana tena sanaaa. Mimi kwakweli nimekereka na hiyo type c na hiyo sheria ni ya kijinga. Lightening ilikuwa ni ya kijanja sana kwanza hailegei kwakuwa haina interface. Kwa kifupi wangewaacha apple aendelee kuwa unique

thrillingpoint
Автор

basi mimi naomba niishie iPhone toleo la 14 tu.

siwezi ku share chager na mtumiaji wa infinix mimi 😏

officialkamdudu
Автор

Kwangu mimi sijapenda walivyobadili charge kutoka Lighting kwenda USB-C😏😏😡😡

ManKiraha
Автор

Ni bora wangebaki na chaji za light maana ni nzuri kuliko usb-c

ArafatiKowero-hlhy
Автор

Type C nikali zaidi kuliko yeyote yoyote

alfredimatihasi
Автор

Kaka iphone watashuka kimauzo maana china wamezuia simu za iphone zisiuzwe maana na wenyewe wametengeneza chipset yao inaitwa kirin 9000s yenye 5G ipo kwenye huawei 60 pro ni wiki hii tu

frankrowland
Автор

Snashi kuhusu waya saiv tuna chajia vi foni 😅😅

msodokimsodokiothman
Автор

Kwaio kuhusu samani y kuringa n waya tayari imeshuka samani

msodokimsodokiothman