SIFA KWA BWANA By Erneuerten G. Kwaya ya Mkono wa Mungu

preview_player
Показать описание
WImbo: Sifa kwa Bwana
Waimbaji: Kwaya ya Mkono wa Mungu, Shule ya Sekondari Manus Dei
Karibuni kutazama wimbo wa Sifa kwa Bwana ulioimba na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Manus Dei, Buhigwe, Kigoma. Huu ni moja wapo ya wimbo kati ya nyimbo 7 ambazo wameimba katika Album yao mpya ya SIFA KWA BWANA (MKONO WA MUNGU VOL 2)
Usisahau kulike, kushare na kusubscribe
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hongera baba Balugize....kazi nzuri sana

bonydemaria
Автор

Hongerni Waimbaji, Wanafunzi, Mkurugenzi, Walimu na Wafanyakazi wote wa Manus Dei Kwa ujumbe Mzuri wa Kumsifu Bwana. Hongera Fr. Ferdinand kwa jubilei ya miaka 25 ya ukasisi Mungu akuongoze ktk utumishi wako.

thegalaxypro
Автор

Hongera sana mwalimu wangu na Baba yangu wa kiroho, baba Fred Barugize. Mwenyezi Mungu akuongoze katika kuyaadhimisha kikamilifu mafumbo matakatifu ya Ekaristi: Na pia akujalie kuyaadhimisha pamoja naye mbinguni.

butungo
Автор

Naiona timu ya mikono wa MUNGU mungu awazidishieee loveee to my

angelgregory
Автор

Mungu awabaliki uongozi wote ulio panga zoezi na hongereni sana wanafunzi wenzangu mungu awazidishie vipawa nawapenda sana na ninafuraha kuwaona tena hongereni sana 🙏🙏🙏🙏🙏

patrickpetro
Автор

Hongereni sana kwa Utume huu wa uimbaji Mungu azidi kuwabariki sana

isakanicholaus
Автор

guys am excited with my school I love you Manus dei family you will always be my favorite ever 🙏🙏

lennykalo
Автор

Kazi nzuri kwelikweli, imepikwa ikapikika hongereni, hongera Fr Barugize Ferdinand

africanusadriano
visit shbcf.ru