Usiyoyajua kuhusu 'Mnara wa Mwenge' Arusha - KUELEKEA FAINALI ASFC

preview_player
Показать описание
Mnara wa Mwenge ambao uko katikati ya jiji la Arusha ni miongoni mwa nembo mashuhuri za mkoa huo. Ni kivutio kikubwa kwa wageni mbalimbali ambao hutembelea jiji hilo kiasi cha kupatumia kama mahali pa kupigia picha mbalimbali.

Kuelekea fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports, Azam TV inakuletea makala maalumu inayoelezea historia ya mnara huo, huku Afisa Utamaduni wa Jiji la Arusha Benson Maneno akiahidi ofa ya kupiga picha bure kwa watakaokwenda kutazama fainali hiyo.
Рекомендации по теме
welcome to shbcf.ru