🅻🅸🆅🅴 : DODOMA MSHINDI URAIS TLS ANATANGAZWA MUDA HUU..

preview_player
Показать описание
#JAMBOTV

...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ahsante Mungu kwa kujibu maombi yangu, Hajashinda MWAMBUKUSI bali imeshinda Tanganyika, TLS na Watanganyika, ahsante Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya Mwambukusi.

eunho
Автор

Hongera Wanasheria wote., , , Hongereni Watanzania.Hongera
Mimi ni mmoja niliyekuwa sina imani na wasomi hawa wmawakili baada ya Tanzania kungia vyama vya siasa vingi chini ya Katiba ya chama Kimoja.

Nadhani sasa tunaingia chapter mpya...tumikieni Watanzania kwa kadiri ya taaluma yenu. Mungu ibariki Tanznia.

alphoncehanura
Автор

Mungu kajibu maombi yangu.
Hongera sana Rais kaka mzalendo nakupenda sana.Mungu Akutunze na Akukupa Afya njema.Ila jambo moja Usimusahau Mungu.

humphreybilly
Автор

Ahsante mungu eebaba niliomba mungu amuchague, Mwabugusi

phiniaswandiba
Автор

Ni jambo kubwa Sana Hongera sana mwabukusi

PeterKisiongo
Автор

Eeeh Mungu Baba tunakushuru Kwa kutupatia huyu mtumishi wako wa haki wakili Bonifasi Mwabukusi huyu atatupatia halo Tanganyika iliyopotea Kwa miaka zaidi ya 60 iliyopita Asante Mungu tunakuomba uturudishie Tena Tanganyika yeti Asante Raisi B M.

michaelmeela-tnew
Автор

Nimefunga kumuomba mungu akufanyie wepesi ee mungu acha uitwe mungu

meryshekoloa
Автор

Hongera baba nilisikiliza mahojiano mpaka mnamaliza nilitamani niwe moongoni mwa wanaochagua nikaomba tuu Mungu akupe nafasi hakika imekuwa.

AmyeSanga
Автор

Hongera Viongozi, Wanachama Hongereni sana TLS

simbasimba
Автор

Yes. Bro.mwabukusi ongera kwa ushindi. Tupo new York city. Pia nengeomba hapewe ulinzi mkubwa maana maadui ni:wengi kwake.kuanzia kazini mpaka nyumbani kwake.ok wazo binafsi.ok

aminimwasha
Автор

Mwabukusi amejipambanua vya kutosha kama mtetezi wa utawala wa sheria ktk nchi yetu. Kwa hiyo inapendeza kwake kupata fursa ya kuiongoza taasisi hii muhimu ktk utawala wa sheria, HONGERA NYINGI

adenmwakalobo
Автор

Naamini uongozi wako utaleta maana halisi ya TLS Hakika maombi yamejibiwa na yote mema yanawezekana tuendako kunaashiria kuleta nuru ya haki Tanzaniania

ThomasMselle-rwej
Автор

Mungu Mbariki Mwabukusi tupo Congo DRC

SalimSalimu-zc
Автор

Huyu jamaa agombee urais wa nchi kqbisa

melichmahingule
Автор

MAMILIONI YA WATANZANIA WANATOA PONGEZI NA HONGERA KWA CHAMA CHA MAWAKILI KWA KUMCHAGUA WAKILI MWABUKUSI KUWA RAIS WA WA KWELI WA NCHI YETU.

MiriamAziz-zt
join shbcf.ru