BABY NAI AFUNGUKA; FRED NI MME WANGU

preview_player
Показать описание
Baby Nai Amefunguka mengi anayopitia kwenye ndoa yake
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Fred umezungumza vitu vya msingi sana. Tabia hizo za wanawake kuomba hela km ulivyosema, wanajiharibia sana. Hela ina majukumu mengi na ya muhimu.Big up sana.👍

petertimothy
Автор

Mm naona ww ukojoi, ingekuwa unakojoa haswa mala 2 tu uko hoi

simbarajabu
Автор

Tunaomba mpendane jamaniii, Unity, msitutie aibu, kesho ndoa ivunjike...

stanslausbereghe
Автор

Mmmmh kikao hicho sichooo, kwaherini, mmmh shetani na apishie mbali kabisa, mama mchungaji uko wapi?

stanslausbereghe
Автор

Sasa iyo intervew gani umeaziba umesimama ebu wacheni kuharibu tasnia tafuta kiti ukae muache mwenye camera free

hamedmaskari
Автор

Anaongea sana hyu mwanamke mm spend wahehe hatup hiv kwaza waskiv, wastarabu, wapore sa ww unaongea, unaropoka subili mumeo aongeee ehee mamaa weww pungza pia matimiz ya cm

ednambata
Автор

Eeeeeh kaka mdogo, angalia nyembe hizooo...

stanslausbereghe
Автор

Nachukia Mimi mtu anachati na simu wakati wamaongezi huyo unaechati nae jiangalie

ndohoriomsacky
Автор

Loo mwanaume afurukute alipuliwe jamani

elizabethbarakalaizer
Автор

Bibi Nai, acha simu hiyo, concerntrate kwa mumeo, onyesha heshima kwa mumeo. Sorry!

stanslausbereghe