Kero la ng’ombe wanaorandaranda mjini Garissa

preview_player
Показать описание
Bunge la kaunti ya Garissa limelaumiwa kwa kukosa kutunga sheria zitakazo wezesha bodi ya manispaa ya kauti hiyo kushtaki wenye wanyama wanaorandaranda mjini. Hii ni kwa mujibu wa mwenyekiti wa chama cha wafugaji katika maeneo kame Dubat Ali Amey. Imedaiwa wanyama hao wanaharibu mazingira katika maeneo ya mjini na hata makaazi ya watu.
Рекомендации по теме
welcome to shbcf.ru