CHEKECHE | Mwaka mmoja wa vita vya Urusi na Ukraine na yanayoendelea kujiri

preview_player
Показать описание
Mwaka mmoja wa vita vya Urusi na Ukraine na yanayoendelea kujiri, huku giza la kupatikana kwa suluhu likiwa limetanda.
#AzamTVUpdates #Chekeche
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mnachukua habari za mangaribi jana tu zaidi ya wanajeshi wa Ukraine mia tano wanerushwa maiti Tazameni Tv 📺 za Indonesia

mohamedrashid
Автор

Hawa wachambuzi vimeo uwenda awajuwi kitu wanajidanganya tu, India, China, Brazili, Rusia na SouthAfrica ni kundi moja( brics) awawezi msaliti Rusia

hamishatibu
Автор

Huyu Ibrahim rahbi namkubAli Sana anachambua kitu hadi kinaeleweka hongera kaka na kipaji chako

salehkhamis
Автор

Hao Wavijana wenu munawaita wachambuzi, hawajuwi istoria ya Urusi

apostlenestorndizeye
Автор

Da niliwaheshimu Azam rakini nimewazarau kwa uchambuzi feki wavita;nyie mkachambue mpra

musashaban
Автор

Mtangazaji na wachambuz wao wote mpo upande mmoja ukweli unakua ngum kuupata, sasa ndo uchambuz gan

abdalahngozi
Автор

Suluhu ya mezani ni ngum Kwa sababu, vita sio ya Ukraine na urusi, vita ni NATO na urusi ingelikua ni vita vya urusi Na Ukraine vingekua vimeisha.

hossanaassanemdulumdulu
Автор

Urusi hakushindwa kuivamia kiv ila israil alibeba dhamana yakusuluhisha na urusi akarudi nyuma ila mashetani wa ulimwengu marekani wakabadili makubaliano sidhani km zelensky angelifika mwezi

nafuutayb
Автор

Na leo ndo mara ya mwisho kuangalia chekeche coz nilijua mtabadilika lkn naona bdo. Hakuna uchambuz wwte apo zaidi ya uongo

abdalahngozi
Автор

Urusi Ni Taifa lenye Technologia kubwa na utalaamu mkubwa katika Vita ngoja tusubiri yatakayotokea

chegebukoli
Автор

Akuna wachambuzi apo hata mimi nina ufahamu kuliko wao awajui lolote kuusu vita vinavyoendelea uko ukraini

ramamtanga
Автор

Waongo wakubwa mamluki na vibaraka ninyi tunafahamu kila kinacho endelea kule ipo siku mtaitwahapo mchambue kuhusu vita na hamtapatikana

hassankinamahassan
Автор

Wote aingie hata ww mchambuzi tunataka uingie tukufungie ndani

amosiabdulallh
Автор

Huyo jamaa wa hapa bongo ajui kitu anaongea nn au nayeye shoga we mtu anapewa misaada na nchi Zaid ya 50 na anatandikwa aoni awe mkweli

allyfaraji
Автор

Hizo habari za tanzania km za hapa london

Fardadihd
Автор

mnapeana moyo sana nyny nchi zenu za kishoga zote zitanyooshwa na urusi

ibrahimahmed
Автор

Weye Joseph Kenene acha kuchanganya Kiingereza na Kiswahili katika maongezi yako!

selemanshidda
Автор

UN is America, how can solutions be dictated by America? We need a more accurate representation for all nations equallyy

mikidadmhando
Автор

Na Ukraine hana jeshi ni mamruki wa Ulaya marekani Australia Canada ndio wapo pale Ukraine apingani pale

mohamedrashid
Автор

Azam TV uchambuziwenu ni wahovyo. Tafteni wachambuzi wazuri.

apostlenestorndizeye