Muafrika anayejiimarisha baada ya kuishi ugaibuni

preview_player
Показать описание
Kwa miaka mingi, kumekuwa na mtazamo kati ya baadhi ya Waafrika kwamba mambo ni mema zaidi katika nchi nyingine, kuliko nyumbani. Lakini dhana hii inabadilika, na Waafrika wengi walio ughaibuni wanarejea nyumbani na kuimarisha nchi zao. Tunaangazia mjasiriamali Henri Nyakarundi kutoka Rwanda ambaye alirudi nyumbani baada ya kuishi Marekani kwa miaka 17.
#Rwanda #bbcswahili #biashara
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ntaenda ughaibuni ila kwa kutembea nadhan....

hassanhamudy
visit shbcf.ru