Hii ni speech bora ya mwaka, welldone Tulia A, sijawahi kukusifia ila kwa hii nimeshindwa kujizuia kutoa pongezi, na ukirudi huku fanya kwa ubora kama huo.🙏🙏💪💪❤️❤️
IsaacPhilemon-mtbk
👏👏👏👏hongera Mama kwakuwapa ukweli!i’m proud of you mama love from Rwanda 🇷🇼 kigali
nikezaalice
Safi sana madam Speaker, Wazungu wasikuchulie poa, you are our pride👍👍
SalumAlly-svbk
That's a high level of professionalism...she deserves to be a role model for youngsters aspiring to become effective leaders in the coming years🎉
hezronmagessa
Speech hii imesimama sana kuongea mbele ya wazungu hasa kuwakumbusha kuhusu uwezo wako wa kufikiri kama mtu mweusi ni power kubwa mno na sio tu mtu mweusi ni mama inakufanya mwanaume ukae vizuri kidogo hongera you deserve that chair
omarichande
Hongera sana speaker wetu Mh.Dr Tulia hao wazungu umewapa za uso wanadharau sana wasikupande kichwani.uwezo ulionao mungu akuongezee mara mia.nimeipenda hiyo Big up sana
JafariMyinga
We are not colonised in our minds, nimeipenda sana hii, bravo Tulia watulize hao, wataelewa tu wasikuchukulie poa
lilydickson
Haikua rahisi kufika hapa lakini umefika mama we are so proud of you, ila siku nyingine mwaga na kiswahili kidogo wachanganye kidogo. We are proud of you.
allenmarco
Very very proud of Dr. Tulia. Woow Woow Woow. 👌👏👏👏😍❤️Thank you 🙏🏾 You make my Tanzania 🇹🇿 great. Super intelligent and confident.
lucykristensen
We're not colonized in our minds, powerfully statement madam president ❤️❤️
jescakonyanza
Sikia yai la tulia hiloo...yani ni full ma congratulations spika wetu
MtessaAlly
daaaa madam spika kwa kweli umetisha strong woman wajue kuwa Africa wapo viongozi wenye msimamo wanajijua na wanajua nini anakifanya, kwahiyo walitaka uwe kama pambo na kuwasikiliza kwaajili ya watakwa yao daaaa upwewe maua yako👏👏👏
frankmarmo
Hongera sana spika wetu kwa majibu mazuri sana na kuwapa ukweli uwazi na hicho kiti kimepata mwenyewe big up.
ABDIMKOMA
BRAVOOO! MADAM IPU SPEAKER Dr.TULIA ACKSON. We are proud of you. You are not there by chance. You are capable! Good clarifications. God bless you madam Speaker Tulia Ackson. Keep it up, do not worry the Almighty God who ordained you that position, is greater than anything. He will always lead you for the benefits of the world and human race.
jescamsambatavangu
"give me a chance to lead this institution according to the ideals that we stand for. Not to crucify me just because I come from some country, some of you may be feel like we are still colonized in the mind no, no we are not. So please let's respect each other. I'm doing the best that I can and that is exactly what I'll do, that is my commitment to you I'll keep doing that. Thank you... Makofi mengi sana
nckmwack
Super proud of you our leader. Be protected by the blood of God. I am so thrilled by the statement that you say"not to be crucified things I have not, we have to reach a point where I have explained myself several times for me to everyone else who cares to understand " Keep shining and representing our nation 🥳
rosemayunga
Good and powerful speech, this word will live in forever🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
nyandahella
Wakenya mkowapi.
😂cc kizungu twakijua lkn
Tunaipenda lugha yetu ya taifa😊
tyivbra
Hongera sana Mh Speaker wetu, nakupendaga siku zote leo umenifurahisha zaid, wazungu wanadharau sana leo wamejua wewe ninani wanabaki wanapiga makofi tuu
hawaelymaricca
I am Rwandan I love here so much so !! To day is to day