YANGA KUMUONDOSHA GAMONDI WAMEKURUPUKA - OSCAR OSCAR

preview_player
ะŸะพะบะฐะทะฐั‚ัŒ ะพะฟะธัะฐะฝะธะต
๐‘ช๐’๐’‘๐’š๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’• ยฉ2024 ๐‘พ๐’‚๐’”๐’‚๐’‡๐’Š ๐‘ด๐’†๐’…๐’Š๐’‚. ๐‘จ๐’๐’ ๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’•๐’” ๐’“๐’†๐’”๐’†๐’“๐’—๐’†๐’….
#wasafi #wasafitv #wasafifm
ะ ะตะบะพะผะตะฝะดะฐั†ะธะธ ะฟะพ ั‚ะตะผะต
ะšะพะผะผะตะฝั‚ะฐั€ะธะธ
ะะฒั‚ะพั€

Kama kuna sababu za nje ya uwanja kumuondoa kocha Gamondi tunaweza sema sawa, lakini kiukweli yanga kuna wachezaji ambao ni mizigo totally team inatengeneza nafasi za kufunga 5 mpaka kumi goal wanafunga moja, hatukatai kuwa sometimes team inaweza kupata matokeo hayo, , lakini wachezaji ndo mizigo wamechoka hata kama waletewe kocha kutoka wapi.Baleke, Azizi ki, Musonda, Chama, Dube wote ni mizigo, wasiposhtuka tutashituliwa

dennischarles
ะะฒั‚ะพั€

hadi wew Kuwa hapo ulipo umekurupuka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

amanimartin
ะะฒั‚ะพั€

Oscar kaka unajuwa mpira na ndio mana Ulaya kocha ndie meneja wa timu mfano man City mechi mfululizo kapoteza ila wala husikii maneno wala husikii kocha mbovu.

HamadTalisman
ะะฒั‚ะพั€

OSCAR ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ WEWE NDO UNAKURUPUKA maneno yako ni ya kiunafki sana tena sana

yollah
ะะฒั‚ะพั€

Ujue wachambuz wengine bora waende waka wafulie wake zao vijora tu

RobartPatrick
ะะฒั‚ะพั€

Walimuajiri wenyewe, wamemfukuza wenyewe, ww hayakuhusu

mundisumka
ะะฒั‚ะพั€

Hawajaurupuka kwa sababu viongoz hutumia pesa nje ya uwanja

ElyMinja
ะะฒั‚ะพั€

Mgaga wa vyura(yanga) kaweka shatri jipya.
Wachezaji viongozi na makocha "wawekwe herizi sehemu zao za siri"
Viongozi wamekubali.
Wachezaji wamekubali.
Gamondi kakataa kwa sababu ana matatizo ya bawasiri

crazydaddy
ะะฒั‚ะพั€

Wamekasirika Chama kuanzia benchi wakt walimsajili kukomoa

beatricemshiu
ะะฒั‚ะพั€

Yanga kuliwa mara mbili tu mshaanza kunyaa ten๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

iptisamismaill-fh
ะะฒั‚ะพั€

Sindano FC wamechoka wanasingizia makocha๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

afterfull-time
ะะฒั‚ะพั€

Utazijuaje sababu na haupo yanga, ebu kachambue mchele huko

Leon-ee
ะะฒั‚ะพั€

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ OSCA ASARI IMEMWONDOSHA GAMOND ALILAMBA AKASAHAU KUIPANGA TIMU KIMBINU ZAIDI ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ PONGEZI KWA TABORA ๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰

josephvenus
ะะฒั‚ะพั€

Osika ivi unavyo ongea hayo maneno kunasiku ulisha wai kuongea na kiongozi yote yanga akakuuliza mazaifu yakocha GAMOND acheni kukulupuka kuzunguza maneno

GilibatyMideka
ะะฒั‚ะพั€

Osca ni mropokaji hafanyi tafiti kama mwandishi habari zake anazihalili mwenyewe

bizzomwandele
ะะฒั‚ะพั€

Bossing about technical bench has never ever paid anywhere. Couches deserve respect. Eng. Hersi is a problem.

Ba
ะะฒั‚ะพั€

Wee ocka tuuache wanayanga tufanye maamzi gomondi mubinafsi sana wee tim ilivyo cheza na tabora hata mm mwanamke najua leo Fulani hayuko sawa yy anazimisha wacheze yanga inawachezaji wengi wenye vipaji gamondi anatuletea ubinafsi wee Toka lini aucho akacheza namba 4 wenyenamba zao wako bechi embu atupishe tuone nahuyo naye ataleta ubinafsi

JamilaMohamed-ly
ะะฒั‚ะพั€

Mnajifanya mnajua wabongo mko kwa ajili ya kukosoa kupingahamna hoka kutimuliwa kocha Gaming ni sawa inawezekana ni kocha asiyeshaurika ana mapungufu mengi kutoelewana na baadhi ya watu kwenye timu uongozi wa yanga uko sahihi kumtumia wewe oscar katafute timu yako uiongoze

JosephatKaira
ะะฒั‚ะพั€

Hujui chochote kile kuhusu mpira. Nenda kashauri maswala ya mausiano tu..

samwelmbowe
ะะฒั‚ะพั€

We kwani ni Kiongozi wa Yanga tulia uache porojo Kaka

maxiellmillian
join shbcf.ru