Willy Paul Ft Marioo - Na na na (Official Lyrics Video)

preview_player
Показать описание
#NANANA #MARIOO #WILLYPAUL

@volumeonnaijaa
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

marioo nakukubali sana unaimba kwa hisia sana na sauti unayo inakonga nyoyo za watu paula ana nyota na ww sana toka aingie kwako kiukweli unatoa vitu haijakaa sawa hii teal umetoa nyingne hongera sana broo

EdinaShaban
Автор

Will hii nyimbo kiukweli umeuwa sanaa na haswa kumshirikisha mtu sahihi

LovelyOmbreSky-pujt
Автор

Walah n beb anajua vyenye naskia nikiimba kwa roho❤

KenzyKaireri-vuhx
Автор

Noma sana wanajua hainitoki
kwenye akili❤❤

yunicJohn
Автор

Mashalla allah mung azidi kump nguv yakupambania familly yak❤❤

khadeejamct
Автор

Wapi baba hamara hiyo sauti hinanitoa rohoo ❤❤❤❤❤

HusseinBundara
Автор

Yaan sk daymond akanichosha nikagundua Hana jpya japo nitaendelea kumweshimu kama baba wa mzk wa kizazi kipya msanii ambaye kwa tz ataniamisha ni marioo 👍👍👍 usiridhike kaka

princekagame
Автор

Munaweza munaweza munaweza tena will Paul 😘😘👌marioo 😘😘👌

vero
Автор

Yaan daaah huu wimbojmn unamalizia mb naurudia sana

mariammtoro
Автор

Collabo moja yaani amazing..imeweza tena umeweza tena😊

ClementinaMballa
Автор

Always you do best- Baba AMARA-MaroTz haujawahikukosea❤❤

StellaOwden
Автор

Mi nimewapenda wote wallah wako fresh kabsi masauti matam

GatekaFatma
Автор

Amara au. Ahmara mbona mnaita jina. Kikwere. P nisawazishe apo😊

PeterBenjamin-nx