CHIRWA, Kikosi cha AZAM Kilivyowasili UWANJANI Kuwavaa SIMBA!!

preview_player
Показать описание
CHIRWA, Kikosi cha AZAM Kilivyowasili UWANJANI Kuwavaa SIMBA!!

Timu ya Azam FC imetua kibabe kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kucheza dhidi ya Simba ukiwa ni mchezo wao wa kwanza kukutana msimu huu katika ligi kuu.

Simba inaingia katika mchezo dhidi ya Azam FC ikiwa na viporo vya mechi nane hadi sasa kwenye ligi hiyo baada ya kucheza mechi 17 na kupata pointi 42, Yanga ikiwa na michezo 25 na pointi 61, Azam ina mechi 24 na pointi 50.

#SIMBAVsAZAM

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nawatakia ushindi Azam FC wapigeni hao wapunguze kelele mitaani

gggjjahhhh