INASIKITISHA MAMA ALIYEDAI KUBADILISHIWA MTOTO HOSPITALI, AFUNGUKA ILIVYOKUWA

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

KAMA UMEIBIWA MTOTO MUNGU ATETE NA WOTE WALIOFANYA HIVO KWA JINA LA YESU NATAMKA HAYO AMEN

oprahpelle
Автор

Damu si maji dada yangu mtoto utampata maana yule alie gawa mtoto yupo anajua kampa nani makonda hawezi kunyamaza atakusaidia

safiyasafiya
Автор

Hospital za serikali 😢😢😢wanaroho mbaya sirudii Tena mie hospital hizo ngekufa live na mimba yng nesi anacheza game hanisikiliz kisa nmekosa elfu 60.

فاطمهفاطمه-شزج
Автор

Manesi wabanwe wanajua kila kitu, ila jmn hii. Dunia inaelekea wap??yaan kila sehemu usalama haupo jmn dah, , , mpen dada wa watu mtoto wake jmn mtoto anauma au mnataka hyo mama afe kwa mawazo??hv mnajua uchungu wa kuzaa kwa opareshen jmn😢😢😢😢😢

LindaMbilinyi-nn
Автор

Hta hyu meya anajua kila kitu khaaa hii dunia jmn😢😢😢😢

LindaMbilinyi-nn
Автор

Hii haikubaliki kabisa, hawa Manesi baadhi yao ni hovyo kabisa

ahmadiibrahimahmadi
Автор

Mwanaume mjifunze kutufuata wake zenu siku ya kujifungua ili muwe mnatusaidia kufuatilia sikuhiz wanaruhusu tu kuingia na mme wako wengine hata sio oparation tukijifungua tunazimia haya hapo mtu kama anania mbaya si anaiba tu mtoto 😢

EvaAden-nx
Автор

Na hiyo kumfunga vitenge ambavyo si vyako walimfunga ili uongee wajifanye kubadili vitenge Yani yote ni kutafuta tu sababu wamuibe

annamussa
Автор

Yawezekana huu mchezo wa mda mrefu hapo 40 zao zikawa zimefika

naturelle
Автор

Kubadilisha nguo ilikuwa ni kuzuga tu huyo mtt walishapiga mshindo wa pesa tayari mtt ashauzwa wala sio kwamba kabadilishwa kapewa mwingine kwa maelezo hayo walichokifanya wamekukusudia mungu amtie nguvu mwanawe apatikane akiwa hai😢

BabyllumajaLumaja
Автор

Jaman mimi nnavyofahamu ukifanyiwa upasuaj paleple na mtt anakua anawekwa pemben na alikua sawa sasa imekuaje hapo...

FatmaYusuph-lrpd
Автор

Mount meru sahivi limekua shimo la taka sitasahau hii hospital watu tumenyamaza tu😢

ShamilaMsengi
Автор

Hapa tulipofikia kama taifa...Mungu atusaide. Hii ni hospitali au jehanamu?

faithmlay
Автор

Kwani huyo mtt alipimwa Moyo saa ngapi? Mmh

rosemsaki
Автор

Duuuh huyu dada anapitia wakati mgum sana ila haki itatendekatu

Mrszizo-dt
Автор

Mtoto ameuzwa umepewa mtoto wa mtu alozaa mapacha

farihiamass
Автор

Hospitali kwani haina camera. Theatre haina camera.

FASSALEHALIB
Автор

Makonda pls msaidie huyo mama wakuambie hivyo vipimo vya Moyo walipima saa ngapi!

rosemsaki
Автор

Ssaa si ungempokea tu vitenge ni nnii??¿

annamushiaminaaa
Автор

Wafanye vipimo wazazi na watt walozaa siku iyo

Fofo-F
visit shbcf.ru