KWA UCHUNGU MWANDISHI ALIYEKAMATWA NA POLISI AFUNGUKA YALIYOTOKEA | ASIMULIA MBOWE ALIVYOKAMATWA

preview_player
Показать описание


Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mungu akamp farao roho ngumu ili awez kujidhihirisha

edisonmjema
Автор

Yani Askari wa mama wanavituko na swaga acha, yani paka najikuta nacheka kama mazuri, kiufupi wamepanic sana jeshi la polisi, CHADEMA OYEEE! CHADEMA JUUU

esthermakelemo
Автор

Safi sana askari wetu hawataludia tena kusema anaupiga mwng

EmmanuelChrispin-boxh
Автор

Askari polisi wanatumia nguvu kubwa kuliko akili

GEORGEMBUGI-xk
Автор

Poleni sana waandishi wa habari kwa yaliyo wakuta, hiyo ndiyo Demokrasi ya Africa, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸

Byondorujulika
Автор

Haki haipo kabisa lkn kuna wakati Mungu atachoka na kutuhurumia sisi wanyonge

habililailo
Автор

watanzania ni wafu walio hai 😂😂😂😂 mnaishi tuh kama mbuzi Wenye akili wachache

ChazJulias
Автор

Kumeanza kuchangamka ndiyo muwajue vizuri polisiccm wanavyotenda kazi yao bila kufuata sheria za nchi hilo ni fundisho kwa wanahabari wote mjifunze kutoa habari juu ya manyanyaso ya raia

GodfreyMwamaso
Автор

Hata vitani mwandish wa hbr haitakiwi kukamatwa

GabielySilivesta
Автор

Mimi nimelaani mwanangu asije akafanya kaziya police 🙏😂😂

ElinamiMsuya-luuz
Автор

IVYO VIKOTI VYENU VYA KAKI WALIFIKIRIA NYIE NI CHADEMA😂😂😂

KiringoMtemi
Автор

Dah poleni sana wanahabari wetu tatizo wait wahana weledi na majukumu yao ni shida

SilvesterGaitan
Автор

Eti urafiki wa tom & jeli, yani leo ni ituko acha😂😂😂

esthermakelemo
Автор

Polen sana waandish habali, hiyo ndio tanzania ya mama anaupiga mwingi

Neemathomas-be
Автор

Serikali hi nguvu nyingi kuliko akili😂

ShaidaAfati
Автор

Mwana kondoo ameshinda ; chadema hongeren Sana kwa kututetea wananchi wake ili tuwe na maisha Bora si Bora maisha tuliyonayo sasa

DausonShensherwa
Автор

Poleni sana waandishi wa habari.
Ingefaa haya maonevu na yanayofanywa na jeshi letu katili la polisi yahubiriwe makanisani na misikitini ili wananchi wafahamu unyama wanayowafanyia raiya wasio na hatiya.

kilemilyimo
Автор

Inchi inapotea askari mnachokifanya iposiku mtakuja kujutia maana mkistaafu mwarudi vijijini kwenu sasatutakomaa nanyie😭😭😭😭😭😭😭

SalimKipese
Автор

EATV wapo baadhi ya watangazaji kuwapinga wanaoandamana kudai haki ya Msingi lkn mnawapinga. Natumai mmejifunza

Mdee-Tv
Автор

Mtakuwa salama siku mkijitambua na kuacha Unafiki!
Jibu la yote haya ni Katiba Mpya ya Wananchi!

ngilanimkwizu
welcome to shbcf.ru