MISSION IMPOSSIBLE [36] SEASON 2

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Najma bint mdogo anaefanya kaz kubwa ndan ya mission imposible kwel kipaji anacho huyu bint binafs namkubali kama unamkubali pia like hapa

Dottokhan
Автор

Chado chado chado, baba angu naomba uwe unatoa mission impossible Kila day🙏🙏🙏

RahmaMaulidy-lmgc
Автор

Unaeangalia mission impossible muda huu Mungu akunyooshee mapito yako amen❤❤❤❤

LollvGreyze
Автор

Kijiko ndani ya nyumba karibu sana kijiko chado umetisha kumleta kijiko kwa pamoja ongereni sana 🎉🎉🎉🎉🎉

Shabumtengasaidy
Автор

Humu ndani kila mtu wa kwanza duuuh!!!! Mimi wa mwisho ila naomba mnipe like moja zitimie kumi please 😢😢😢

NeemaLodrick
Автор

Toka season one Sina ata like Moja jmn naombeni moja

KeliviniKimaro
Автор

Wow hongelen saana kwa kutukumbuka mapema, , , , great great tuko sambamba.

IbrahimReuben-ns
Автор

Jamanii kidem jau umeongea maneno meng mbona maandishi mistari miwili aliyewaza kama mm like hapa❤

MsafiriMwendele
Автор

Leo n mm nimerauka jamn 😊😊😊...Naombeni like ata 20 nitashukuru km vike kina Chado wanavyo shukuru kuwasapoti n kuangalia thamthilia yet y mission impossible ❤❤❤❤❤😅😅

SaumuNyale-sh
Автор

Watanzania kwasas tunaweza kutembea kifua mbele kwa sababu ya Kaz zinazofanyw na watanzania wenzetu kwakwel Kaz n nzur Kama unakubali kwamb chado film wanafanya vzr like hapa🎉🎉🎉

Dottokhan
Автор

Wangapi wamegundua Najma anatumia mkono wa kushoto kuandika😂

ManaseMoleli
Автор

Napenda sana jinsi chado na najima walivyo cheza kwenye mission impossible love u sanaaàh

VailethSalone
Автор

Leo nmkua Wa Tano more love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Nawapenda Sana ❤️❤️❤️

Daddysgal-jv
Автор

Nakubali san Mr mayonga bigapu kwako kaka kweny mission pesa na uruma vitu viwili tofauti

MuinaIddy
Автор

Kidem jau ndiye aliyesababisha chado kuwa mtu anaewafanyia watu uhuni 😢😢😢Kwa kutoridhika kwake na penz la mwanaume wake pekee yake(chado) na Sasa yy ndyo kawa mtu wa kwanza kuumizwa na matendo ya chado kwel malipo ni hapa hapa tunafundishwa kuwatendea yaliyo mema wenzetu 😢
Sijawa wa kwanza ila nimewahi leo😂😂😂😂
anayeungana na mm likes ziwe nyingi hapa😂❤❤🎉🎉

ReshmahEmma
Автор

tangu nianze kufatilia hi move sjawaho pata hata like moja leo pia mtanikaziaa

webirosaidy
Автор

Anae hisi uyu mwalimu kijiko ni mpelelezi like apa

YahMtonyi
Автор

Wa Congo 🇨🇩 tupo kama tupo tujuwane chando kazi zuri félicitations pour votre action

LéonardKyongozi
Автор

Ichi kijiko kweli maana ni zaidi ya chenga chado baba mauwa yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉nakubali kazi yako kinoma noma natamani kufanya kazi na wewe kaka👊👊

mwanamagolo
Автор

Aki najima kama usinge kua mchepuko haya yote yasinge tokea 😢😢😢pia wacha marafiki ❤❤❤🎉🎉ila tuna jifuza kiti

Marry-um
welcome to shbcf.ru