Kinara wa ODM awarai wakaazi wa Kisumu kujisajili kuwa wapigakura

preview_player
Показать описание
Kiongozi wa ODM Raila Odinga amewataka watu wa kaunti ya Kisumu kujisajili kama wapigakura, ili kupiga kura katika uchaguzi wa mwaka ujao.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Manze cjui niseme nini mimi ni North Eastern raila damu sasa ndio change ikl karibu

kusmencool
Автор

Chukueni kura Jama chukueni kura Jama you vote vote like you have never vote

mohdomar
Автор

Hapa usipochunga I'd na voters card Ita ibiwa

wezhc
Автор

AMEANZA KUIGA RUTO'S POLICY OF CREDIT LENDING, AMEACHA KUDANGANYA NA MAMBO YA HANDOUTS

dr.enokim
Автор

kura kwa baba yeye giye atakombowa wa kenya wachana na ruto wakale hamutaki yeyr nikutisha wakale diyo wamwogope wasipige kura kea viogozi wegine bure kabisa ruto ujifanya nimucha mungu lakini yeye nigozi ya munyama yanuka

maureenstuvel
Автор

*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO KUSHOTO NAAMINI MTAUPENDA 💥🔥🔥💥*

Emmamusiccmb
Автор

Hawa wote ni watu wakuletwa kutoka kibra ..kariobangi...mathare

wezhc
Автор

Why did u people choose to speak in mothertongue

dickensotieno