KAMATI YA BUNGE YAWEKA HADHARANI MATATIZO YA ELIMU

preview_player
Показать описание
Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Hussein Bashe akiwasilisha maoni ya kamati hiyo kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2018/2019 jijini Dodoma leo
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

bunge liibane serikali kuongeza pesa bodi ya mikopo na kuondoa ubaguzi katika utoaji mikopo. bunge litimize wajibu ni haki ya msingi kwa kila mtoto.

ungonelamapunda
Автор

Naomba kuuliza hivi haya mambo ya nchi ikiwepo elimu nyerere aliachia wp na mliofuata mmefikisha wp haya mamalalamiko yanamaaanisha nn?? Kwa nchi nzimaa

lobalobaanase