filmov
tv
MAHAKAMANI: Wema Sepetu tena Kisutu na Mama yake AUG 1 2017

Показать описание
Leo August 1/2017 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya dawa za kulevya inayomkabili Wema Sepetu hadi August 4/2017 kwa ajili ya kutoa uamuzi wa kupokea ama kutopokea vielelezo vya ushahidi wa sampuli ya mkojo na bangi.
Hatua hiyo inatokana na wakili wa Wema na wenzake, Peter Kibatala kumuomba Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba kutopokea vielelezo vya ushahidi huo kutoka kwa Mkemia wa Ofisi ya Mkemia Mkuu DSM, Elias Malima.
Katika ushahidi wake, Malima ameeleza February 6/2017 alipokea sampuli ya majani ya bangi na February 8/2017 alipokea tena sampuli ya mkojo wa Wema.
Hatua hiyo inatokana na wakili wa Wema na wenzake, Peter Kibatala kumuomba Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba kutopokea vielelezo vya ushahidi huo kutoka kwa Mkemia wa Ofisi ya Mkemia Mkuu DSM, Elias Malima.
Katika ushahidi wake, Malima ameeleza February 6/2017 alipokea sampuli ya majani ya bangi na February 8/2017 alipokea tena sampuli ya mkojo wa Wema.
MAHAKAMANI: Wema Sepetu tena Kisutu na Mama yake AUG 1 2017
Wema Sepetu akitoka Mahakamani Kisutu kutokana na video zake chafu
Wema Sepetu alivyofika Mahakamani Kisutu na Wakili Msando
WEMA SEPETU AACHIWA, AKAMATWA TENA
MAHAKAMANI: Wema Sepetu hakufanyiwa upekuzi kwenye maungo yake
Alichokisema Wema Sepetu baada ya kutoksa mahakamani Kisutu
Alichokisema Tundu Lisu kuhusu ushahidi wa mkojo wa Wema Sepetu kupokelewa mahakamani
Wema Sepetu alivyowasili na kuondoka mahakamani Kisutu leo
WEMA Alivyotinga Mahakamani Tena, Kesi ya Video za Ngono!
Wema Sepetu Akiwasili Mahakama ya Kisutu Sakata la Madawa
Wema Sepetu atupwa Mahabusu, ni baada ya kujisalimisha Mahakamani Kisutu
SIMU YA WEMA SEPETU YAGEUKA GUMZO MAHAKAMANI
Wema Sepetu alivyotua Mahakama ya Kisutu akiwa amevaa suti kali
Wema Sepetu ajishaua Mahakamani, Aongea na simu ndani Mahakama
WEMA SEPETU AFIKISHWA MAHAKAMANI
WEMA MAHAKAMANI: Atoka nduki kukimbia kamera!
Video: Wema Sepetu Akiwa Ndani ya Mahakama ya Kisutu Sakata la Madawa
Utetezi wa WEMA Mahakamani Leo
WEMA AACHIWA HURU, AKAMATWA TENA, AZUA KIZAAZAA MAHAKAMANI!
JINSI WEMA SEPETU ALIVYOWEKEWA ULINZI MAHAKAMANI
Vituko vya Wema Leo Mahakamani! !
Ushahidi uliotolewa Mahakamani kesi ya Wema Sepetu Sept 12
Wema Sepetu afika Mahakamani bila Wakili wake leo
Wema Sepetu leo akiingia mahakamani ya Hakimu Mkazi Kisutu
Комментарии