Papi Kocha & Nguza - Seya Lyrics

preview_player
Показать описание
siNa umiliKi wa hii Nyimbo,
NimefaNya Kwa KuwapeNda wasaNii Na huu mziKi

i do for the love with music

Leo nataka nitoke na mpenzi wangu Sea
Ujue Sea nakupendaga sana
Sea wa mi valo
Sea wa mi valo
Sea niko wako
Wa kufa na kupona
Sea tutoke wote
Waseme niko wako
Sea wa mi valo
Sea wa mi valo (mama)
Sea
Sea
Sea wa mi valo
Sea wa mi valo
Sea niko wako
Wa kufa na kupona
Sea tutoke wote
Waseme niko wako
Sea wa mi valo
Sea wa mi valo (mama)
Sea
Sea
Sea wa mi valo ooh ooh Sea
Sea vaa vizuri
Tutoke mama
Wenye kusemasema ooh ooh Sea
Wabaki vinywa wazi mpenzi wangu Sea
Hata mvua ikinyesha ooh ooh Sea
Lazima tutoke leo mpenzi wangu Sea
Tuonyeshe mapenzi yetu ya ukweli Sea
Wale wabaya wetu eeh
Wabaki na aibu
Sea wa mi valo (mama yoo yoo)
Sea wa mi valo (mpenzi wangu Sea)
Sea niko wako (niko wako Sea)
Wa kufa na kupona (iih leh leh)
Sea tutoke wote (mpenzi wangu Sea)
Waseme niko wako (Sea Sea)
Sea wa mi valo (mpenzi wangu Sea)
Sea wa mi valo (mama)
Sea
Sea
Sea wa mi valo (mpenzi wangu Sea)
Sea wa mi valo (mpenzi wangu Sea)
Sea niko wako (mama ya bana nanga)
Wa kufa na kupona (njoo kwangu mpenzi)
Sea tutoke wote (ooh mwenzio nateseka)
Waseme niko wako (mama yee eeh)
Sea wa mi valo
Sea wa mi valo (mama)
Sea
Sea
Vaa vizuri mpenzi wangu upendeze
Donge liwashike
Mabusu motomoto
Mimi na wewe mpaka kufa eh
Mama eh
Usiwasikilize
Hao wanaotaka kuharibu mapenzi eh
Baba na mwana
Baba na mwana tunaimba na kucheza eh
Baba na mwana
Baba na mwana
Baba na mwana
Baba na mwana tunaimba na kucheza eh
Baba na mwana
Baba na mwana
Baba na mwana tunaimba na kucheza eh
Baba na mwana
Baba na mwana
Baba na mwana
Baba na mwana tunaimba na kucheza eh
Baba na mwana
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Wangap tumeisikiliza 2024 Gonga like Tujuane 🎉

iddynovo
Автор

2024 wakenya mko wapii? Mark your presence.

surgeonmuthusi
Автор

2024 tuko locked after kuona tiktok ❤😊

Wapi likes zangu wadau

kevokofficial
Автор

Heard this song on Tik Tok and I have come here to listen to the full version. Nice!

BonaventureTheBVM
Автор

A very nostalgic song especially to those who grew up in 90s

kabiamugambi
Автор

the song was released when i was in class one😂..i grew listening to it and today am here still listening to the song. I really love it. Am from kenya🇰🇪. Big up Tanzania 🇹🇿🇹🇿

davidlenangetai
Автор

2023 we are still here!This one never gets old.And to learn that Papi Kocha and son were imprisoned for life until Magufuli pardoned them makes me feel all sorts of emotions🥺

faithmoracha
Автор

Johnson 'Papii Kocha' ni mad talent, vocals ni hatari. Yule rais aliyemfunga kidhuluma ana laana

jnote
Автор

2024 bado naisikiliza hii nyimbo naenjoy sana 🥰😘

DianaroseChenga-iw
Автор

2024 locked❤❤ vile inafaa lete likes jameni🎉🎉

zachariahgwaro
Автор

Ni nyimbo ya zamani Sana lakn Bado imo napenda sana

eliajob
Автор

hiihii ngoma nakumbuka baba yangu, alale mali pema

SalegioIssa
Автор

Nimeunguza chapati kwa ajili ya huu wimbo

doncandy
Автор

@2024 and still enjoying the song🎉🎉🎉🎉 it shall never grow old❤❤❤❤

aureliakahindi
Автор

this song gives me childhood traumer my dad used to come back home and we would all run away from the living room for him to listen to this song while complaining about everything and shouting at us😢

braniceshisoka
Автор

Am Kenyan I love this song so much!!!❤❤ Big up Tanzania!🇹🇿🇹🇿

johnnjoroge
Автор

Am from UGANDA 🇺🇬 but I enjoy this song!!!❤️❤️ Big up Tanzania!🇹🇿🇹🇿

muliramariam
Автор

2021 who's is here nodding slowly

kevinmungahu
Автор

There is this show on TBC1 #zilipendwa walicheza ii ngoma nikapatwa na goosebumps. It takes me back on how my dad used to enjoy his weekends. Great hit.
Am from Kenya

PiNTosh
Автор

Three glasses of Moldovan wine and feeling the beat

DishonMngoda