ZION CLARK: MWANAUME ASIYE na MIGUU ALIYEWEKA REKODI ya KUTEMBEA kwa KASI ZAIDI DUNIANI...

preview_player
Показать описание
ZION CLARK: MWANAUME ASIYE na MIGUU ALIYEWEKA REKODI ya KUTEMBEA kwa KASI ZAIDI DUNIANI...

Watu wengi huamini kwamba mtoto akizaliwa na ulemavu, basi hawezi kuwa na uwezo wowote wa kufanya mambo makubwa maishani mwake na wengi huchukuliwa kama mizigo, huku jamii nyingine zikiwa na imani potofu kwamba kuzaa mtoto mwenye ulemavu ni laana.

Hata hivyo, Zion Clark aliyezaliwa bila miguu, ameuthibitishia ulimwengu kwamba kuzaliwa na ulemavu siyo kikwazo kabisa katika maisha na kuonesha kwamba kumbe hata walemavu, wanaweza kufanya mambo makubwa na kuweka rekodi ambazo haziwezi kusahaulika duniani.

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)

⚫️ OUR PLAYLISTS:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Zion ni mlemavu ila uwez shindana nae yupo vzr namfaham

jacksonngusi