VICKY KAMATA ABWAGWA MAHAKAMA KUU, MTOTO WA LIKWELILE APEWA MAMLAKA 'NDOA HAIKUWA HALALI'

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ndoa ya kukuta watoto inabidi utafute mali zako na pia wosia uwe kila mtu na chake. Watoto wanajali mama yao sio mama wa kambo hata uwapende vipi?

itanzaniaAS
Автор

Watoto komaeni mpaka kieleweke. Maawara ni vyanzo vya vifo vya wenye ndoa.

nsiamasawe
Автор

Wanawake na maendeleo mfanye kazi msonge mbeleeee yeleleyelele wanawake wololowololo kinamamaa....acheni kukimbilia wanaume waliokwisha komaa wakatafuta mali anzeni na wanaume makapuku mtoboe ozone pamoja...kazi safi mahakama hamna

andrewcharles
Автор

Jamani tufike mahali tusipende sana
mali.Tumuogope Mungu

tuombemwakyusa
Автор

Ukiwa na hela shida, ukiwa kwenye familiya yenye njaa shida.Mungu tunusuru na mali😢😢😢maana tukifa tunaziacha tu hapa duniani.

erickchitumbi
Автор

Ndoa katoliki haivunjiki Vicky ujanja wote umekuwa kimada mbobezi badala ya kuchuma mali umeambulia upupu. Ungekuwa mkatoliki mwenzake ungejua mapema hatma yako kuwa huna ndoa ni mzinifu tu.

peterkanja
Автор

Viky Ungekaa na hao watoto kwa wema wala msinge fikia huko wange kutunza mpaka unge shangaa Niukosefu wa Akili Hakuna mtoto ambae utamuonyesha upendo wa tati akaacha kuku penda hawawezi kuku chukia wate kwahiyo jifunze

evamlay
Автор

Hii tabia ya kuparamia paramia ndoa za watu ni mbaya sana na kwa tamaa ya kujipatia mali ambazo hata hujui walizipataje na usipoangalia hapo yeye ndio chanzo cha ndoa ya kwanza kuvurugika ila malipo ni hapa hapa duniani akome na iwe fundisho kwa wanawake wote wenye tabia kama hii.

mariamgodfrey
Автор

Na ukute huyo Vicky ni malaya anatombwa tu na wanaume wengine na alijiegesha ili apate mali

kabwelasutiviraka
Автор

Wazee ukishakuwa na mali na uko na family tayari na uko above 45, usifunge tena ndoa, mega tu kisela, utawatesa wanao... Hawa michepuko wako na beby wao wataenjoy nao ukifa😂

onesmokihanza
Автор

Tatizo lawanawake wengi, wenye umarufu fulni, hutafuta kuolewa nawanaume wenye umri mkubwa, waliofiwa nawake zai, waliotalakiana nawake zao, kwatamaa zamali, nakuangalia kuridhi tu, simapenzi.Sasa wengi wao wakishafiwa nahao wazee wanajimilikisha miradhi, mali, bila kujua kbla yayeyee alikuwepo mwingine, alizaa wtoto aliwakuta, wengine niwakubwa kwake, sijui kwann wanawake htujitambui kwahili.Ingia natamaa omba ujengewe hta kbanda chko pembeni, sio kuingia nakutafuta kumtengenisha baba nawanawe, ili ummliliki mume kwatamaa zko

dignakanje
Автор

Kwa ndoa ip mpaka apewe kusimamia miradhi

godlema
Автор

Vicky alifuata mali za huyo baba na mungu amemlani huyo mzee achume mali na mke wake wa kwanza yeye ndiyo achukue kwa urais kakoma amiliki zake alizokuwa mbunge wa viti maalumu

margarethpolepole
Автор

Uso wake unaonyesha kama gaidi roho mbaya loo mwanamke hafai huyu sema kaumbuka

rahmaabdulrahman
Автор

Ni bora kutokuolewa unaweza kuolewa na lijamaa kumbe lilishaoa na ndoa hajavunja yani ukawa unachuma nae kumbe anatumia nguvu zako kujenga maisha ya wanae baadae

nipherjoseph
Автор

Wamama tu ndo huwa wanagombania Mali sijui mnashida gani

victorphilibert
Автор

Sheria zetu hizi zinachanganya! Sbb, Vick angeachwa Na marehemu Likwekile kwa sababu yoyote ile naye akapeleka malalamiko mahakamani, Mahakama ingemhalalisha kwa sheria ya kuwa AMEISHI NA VICK KWA ZAIDI YA MIEZI 3(MITATU). IWEJE KWA HILI LA MIRATHI?

charlessombi
Автор

KAZI inashangaza itafanya wanaume wenye watoto waogopwe kwani huyu dada alikuwa mbunge na anapesa anayeweze kuishi vizuri akenda kuwekeza kwa mwanaume ambaye amemuoa kitapeli hiv inaingia akilini Una ndoa unafunga nyingine na Rita wanapikea Cheri cha ndoa na hawaasajili na akuambiwa hiyo yeye anajua ameolewa kumbe ana karatasi mliolewa mkakague karasi zenu labda sio vyeti

EdithNdege-nxxo
Автор

KATAA NDOA NDOA NI UTAPELI😅 WATU WA JF

Ramahdhani
Автор

Wanaume wabaya sana kwann hakuvunjaa ndoa yake ya kwanza

jescalutegonsombnambyakoda