filmov
tv
Jeshi la polisi Dar es Salaam latoa onyo kwa CHADEMA

Показать описание
"Jeshi la polisi linatoa onyo kali kwa wale wote wanaopanga kutekeleza mpango huo kuwa watashughulikiwa vikali lakini kwa mujibu wa sheria"
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam limetoa onyo dhidi ya mpango wa Chadema kuhamasisha watu kukusanyika Mahakama ya Kisutu April 24 ili kumuunga mkono kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA Tundu Lissu atakapofikishwa Mahakamani hapo
Onyo hilo limekuja baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche kusisitiza watu kujitokeza kwa wingi siku hiyo
Kiongozi wa CHADEMA Tundu Lissu, alifunguliwa kesi kwa shutuma za uhaini baada ya kukamatwa mkoani Ruvuma alipokuwa kwenye kampeni ya kushinikiza mageuzi kwenye Tume ya Uchaguzi kabla ya uchaguzi wa mwezi Oktoba.
-
#bbcswahili #tanzania #uongozi
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam limetoa onyo dhidi ya mpango wa Chadema kuhamasisha watu kukusanyika Mahakama ya Kisutu April 24 ili kumuunga mkono kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA Tundu Lissu atakapofikishwa Mahakamani hapo
Onyo hilo limekuja baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche kusisitiza watu kujitokeza kwa wingi siku hiyo
Kiongozi wa CHADEMA Tundu Lissu, alifunguliwa kesi kwa shutuma za uhaini baada ya kukamatwa mkoani Ruvuma alipokuwa kwenye kampeni ya kushinikiza mageuzi kwenye Tume ya Uchaguzi kabla ya uchaguzi wa mwezi Oktoba.
-
#bbcswahili #tanzania #uongozi
Jeshi la polisi Dar es Salaam latoa onyo kwa CHADEMA
MHE. RAIS DKT. SAMIA AKISHIRIKI SHEREHE YA KUFUNGA KOZI YA MAAFISA NA WAKAGUZI WA JESHI LA POLISI
Jeshi la Polisi lazuia maandamano yaliyokuwa yafanyike Dar es Salaam
Jeshi la Polisi Dar es salaam Lakamata Majambazi Wawili na Silaha Nzito
Jeshi la Polisi Dar es salaam Lakamata Majambazi Wawili
JESHI la POLISI LASHIRIKIANA na UDSM KATIKA UTAFITI KUKABILIANA na UHALIFU...
🔴#Live: IGP WAMBURA AKISHIRIKI SHEREHE ya KUFUNGA KOZI ya MAAFISA na WAKAGUZI wa JESHI la POLISI DAR...
JESHI LA POLISI DAR LINAWASHIKILIA WATU WATATU KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA DEREVA TAKSI
TAARIFA MPYA ZILIZOTUFIKIA MUDA HUU KUTOKA JESHI LA POLISI DAR
😕IGP 'Jeshi la Polisi Haliwezi Kuvumilia'🤫😒🤔🇹🇿 #shortsvideo #globaltv #rais #live #trendin...
Mwendokasi yaua wawili Dar || Jeshi la polisi latoa taarifaa
' KILICHOFANYIKA NA JESHI LA POLISI DAR, NAUNGA MKONO YOYOTE ASIJARIBU KUVUNJA AMANI' CHA...
Jeshi la polisi laimarisha ulinzi jijini Dar es Salaam, Mbowe akamatwa
Jeshi la polisi lamshikilia Halima Mdee kwa amri ya Mahakama
TAMKO JIPYA la JESHI LA POLISI Kwa WANANCHI wa DAR ES SALAAM
WATOTO MAPACHA WALIOFARIKI KWA KUNYWA UJI DAR - JESHI LA POLISI LINACHUNGUZA KUJUA UKWELI...
PADRI KITIMA ashambuliwa, POLISI yatoa kauli
Jeshi la polisi kuwasindikiza Mashabiki Yanga kwenda Dar na kurudi
JESHI LA POLISI KUSHIRIKIANA NA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM KUFANYA TAFITI MBALIMBALI
Jeshi la Polisi, DART wawekana sawa matumizi ya barabara
JESHI la POLISI LATINGA SEGEREA, LAWAFARIJI WAFUNGWA na KUWAPA ELIMU ya UKATILI WA KIJINSIA...
ANGALIA UKAKAMAVU WA ASKARI, RAIS SAMIA AKIKAGUA GWARIDE LA POLISI
KAULI YA JESHI LA POLISI KUELEKEA MKUTANO MKUU WA CHADEMA
KANISA LA GWAJIMA LAFUNGWA, POLISI WAIMARISHA ULINZI NA SILAHA, WAUMINI WAPIGA MAOMBI NJE “NI VURUGU...
Комментарии