Jeshi la polisi Dar es Salaam latoa onyo kwa CHADEMA

preview_player
Показать описание
"Jeshi la polisi linatoa onyo kali kwa wale wote wanaopanga kutekeleza mpango huo kuwa watashughulikiwa vikali lakini kwa mujibu wa sheria"

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam limetoa onyo dhidi ya mpango wa Chadema kuhamasisha watu kukusanyika Mahakama ya Kisutu April 24 ili kumuunga mkono kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA Tundu Lissu atakapofikishwa Mahakamani hapo


Onyo hilo limekuja baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche kusisitiza watu kujitokeza kwa wingi siku hiyo

Kiongozi wa CHADEMA Tundu Lissu, alifunguliwa kesi kwa shutuma za uhaini baada ya kukamatwa mkoani Ruvuma alipokuwa kwenye kampeni ya kushinikiza mageuzi kwenye Tume ya Uchaguzi kabla ya uchaguzi wa mwezi Oktoba.
-
#bbcswahili #tanzania #uongozi
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Acha ujinga hii inchi siyo yakwenu pekeenu
Kwani wakienda mahakamani kusikiliza kesi kunashida gani

JosephMugala-yvsb
Автор

Sasa wewe ni polisi wa ccm au ni polisi wa watanzania wote

CalistiNicetas
Автор

Acheni ulevi wa madaraka tumewaajiri na tunawapa mishahara acheni matishio mishahara yenu ni kodi zetu.

fadhilimoshi
Автор

Dah mtihani kwa ni hawaruhusiwi wt kwenda kusikiliza kisi? 😢

سالمهزنجبار-مخ
Автор

Hivi siku Ccm wakishindwa huyu Mzee atakimbilia wapi ? Usiendekeze sana njaa.

icesue
Автор

Wewe mbona umeezeeka arafu huna utu wakati unastafuu tenda wema

AnnyJohn-tw
Автор

Hii ndo nchi yenye Amani. Tanzania yetu

UPENDOMLELWA-xb
Автор

Ata wakienda awafanyi kitu watatulia kusikiliza kesi

CastorinaAchiula
Автор

mctukhanith bana tumechoka kupelekwa pelekwa, cc wananchi ndo maboss zenu na hatuipingi katika maana katiba haimzuii mwananchi yyte kwenda mahakaman kusikiliza kesi, sasa nyinyi ambao tumekuajirin nd mumekua munatupandia juu ya utosi na kuipinga katiba.tumekuchoken bana basi tuueni ila mwish na sisi uzalend utatuzid tutakuvizien 1 baad ya mwengin nje ya uaskar

Disminder
Автор

Hivi hawa maaskari wa tanzania wanajielewa kweli,

DavidMoshi-zu
Автор

Nchi ni ya Wanainchi sio yenu pekee yenu

MwinyiHaji-nu
Автор

Kufika mahakamani kufuatilia mwenendo wa kesi tangu lini ikawa jinai..nia mbovu!

albertkamala
Автор

Daaah sasa watu wanakuja kufanya fujo mahakamani ushasikia wapi hicho kitu..

Rasoulhk
Автор

Uzoefu unaonuesha penye hasira na hasara, dunia nzima…. Maduka, vurugu, assault etc matokea yake, baadae lawama government???”from UK 🇬🇧

mohammedkombo
Автор

Kwani mahakamani ni kituo cha polisi mbona umekua mjinga wa kiwango cha hata unachokiongea hukijui matamko matamko mbona makala na ccm wenzako hamfatilii hiyo nafasi ulionayo wenzako wameondoka tayar pia erewa tutaanza na ww muliro mtumishi wa ccm

delasdiego
Автор

Wakiita majeshi na nyinyi vichaa mtaenda? 😂😂😂😂😂

DivineWisdom-oy
Автор

Unautafuta umaarufu tu kwan wanaandamana si wanaenda kumwona kiongozi wao acheni hzo na nia mbovu mnazo nyie kwa nini muwazuiye watu

TitusMwenda-qxuh
Автор

ww mzee mbinguni utapasikia2 hamana binadam atakae ishimilele duniani ww onakama umemaliza maisha

ezekielyezekielygaspely
Автор

Mbwa mpumbavu ndio anaweza bwekea ndege

ezekielmubofu
Автор

Muwe mnatenda haki mnapiga watu kama wanyama iv ungekua ww au ndugu yako anapigwa kama nyoka ungejusikiaje

BullahSambiga
join shbcf.ru