Mradi wa umeme wazinduliwa Tanzania

preview_player
Показать описание
Ujenzi wa mradi mkubwa wa kufua umeme wa maji katika eneo bonde la mto Rufiji nchini Tanzania umeelezewa kuwa moja ya vielelezo vya kwamba nchi za Afrika zinaweza kutekeleza miradi mikubwa kama hiyo zenyewe na hivyo jumuiya za kimataifa kutakiwa kuunga mkono juhudi za maendeleo barani humo.
Рекомендации по теме