UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WASOGEZWA

preview_player
Показать описание
KIGOMA: Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania (INEC) imetangaza kusogeza mbele zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura mkoani Kigoma kutoka Julai 1 hadi Julai 20 mwaka huu. Mwenyekiti wa Tume, Jaji Jacobs Mwambegele, alisema kuwa hatua hiyo inatokana na maombi ya wadau wa uchaguzi waliotaka muda zaidi wa kutoa elimu na kuhamasisha jamii kushiriki kwenye zoezi hilo.
Imeandaliwa na Fadhili Abdallah
Follow us on:
FACEBOOK;

INSTAGRAM;

TWITTER;
Рекомендации по теме
visit shbcf.ru