Vedastus & Mathias Walichupa - Bado Nahema [Official Music Video]

preview_player
Показать описание
The Official Music Video for 'Bado Nahema' performed by Mathias Walichupa and Vedastus.

Available on all Digital platforms:

Subscribe to Mathias Walichupa's YouTube Channel

Follow Mathias Walichupa on socials:

Follow Vedastus on socials::

For Bookings: WhatsApp/Call +255757255858
_________
Lyrics:

Aiyee iyeeiyee
iyeeee
ouuuh yeiyee

Nimejifunza somo, kwamba wewe BWANA
Wautambua mwisho, kabla ya mwanzo
We ni mchakato wako, kumtoa mwana
Kutoka mavumbini, kumketisha na wakuu
Haukuruhusu machozi yanitoke, yanitoke bure
Hukuruhusu huzuni idumu ili niumie
Haukuruhusu mapito, yanigharikishe
Umenipa mwisho BABA, wenye ushuhuda aa

Nashindwa jinsi namna ya kusema
Nashukuru bado nahema
Sikustahili umenitendea mema
Nashukuru kwa yako mema
Hivi nikupa kitu gani BABA

Lala lalala lala (mpaka ninaishi leo ni neema yako tu)
Lala lalala lala (maana si ujanja wala akili zangu)
Lala lalala lala (asante BABA pokea sifa)
Lala lalala lala

Ouuyeee yeyeyee
ouyeyeee

Shukurani zatiririka ndani ya Moyo
Napotazama haya, uliyonitendea
Ambayo kwa akili za Kibindamu mi nisingeweza
This kind of blessings, I never seen before yeee
Ninashukuru hukuniacha BWANA
Hukuniacha BWANA
Umenipigania mwanao oo
Tena nashukuru hukuniacha BWANA
Hukuniacha BWANA
Umenivusha na mengi mwanao oo

Nashindwa jinsi namna ya kusema
Nashukuru bado nahema
Sikustahili umenitendea mema
Nashukuru kwa yako mema
Kweli hakuna kama Wewe

Lala lalala lala (matendo yako ya ajabu uuh)
Lala lalala lala (eh hayaelezekii iiih)
Lala lalala lala (asante BWANA aaah)
Lala lalala lala (ooh lala lalaa yeee)
Ooyeoyeoyee

#mathiaswalichupa #vedastus #gospel

Copyright ©2024 Mathias Walichupa | Vedastus. All rights reserved
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

I don't know why am crying but Mungu abariki kila mtu akutane na destiny helpers wake in the name of Jesus. 😢

florencelucas
Автор

Me ni muislam ila huu wimbo nikiskia nakumbuka niliumwa sana baada ya kujifungua mapacha watoto waliruhusiwa kurudi nyumbani me nilibaki hospitali nchi za watu sina ndugu, mume alikua nchi nyingine mama mkwe ilibidi awe anahudumia watoto nalala hospitali mwenyewe bas kuna usiku nililala desperately i wasn't even sure nitarudi nyumbani alive usiku saa tisa nipo usingizi mzito wa madawa nikiskia sauti kama inanipa amri amka!fasta nikakurupuka nikajua ni asubuhi kuangalia muda ilikua saa tisa ikabidi niinuke nikae maana nilipata hofu na nilikua siwezi kunyanyuka mwenyewe ila niliinuka nikakaa that day bas kuanzia hapo nikatembea mwenyewe na nafuu kubwa nilipata kuanzia hiyo siku!mungu yupo jamani!niliwaza kuna wamama wengi wacha mungu pengine hata kuniliko ila mungu anawachukua wanaacha vichanga yatima ila mungu aliniinua mimi kwa ukamilifu upi daah😢

HanenMgeni
Автор

Nice, , kama bado unahema mpe mungu shukrani amen.

LinoKhanje
Автор

Sikusitahili kweli ila unanitendeya wema upewe sifa Jehovah ❤❤❤

DjamilahElisa
Автор

Kama unaukubali huu wimbo gonga like hapa

EnockDeking
Автор

Wooow wimbo mzuri sana, ama kweli Mungu hufanya kazi kwa njia binadamu hawezi elewa, akutane na haja za kila mmoja wetu na tuseme 🙏🙏🙏🙏.

morrismkuba
Автор

I was at my lowest after the accident we had with 8 family members, we almost fell from the flyover but God saved us all, when I discovered about this song it made me realize we've been given another chance 🙏🙏 thank you.

yvonneazangu
Автор

The most underrated privilege in the world is good health. Mungu ni Mwema. Wimbo una baraka za kutosha.

eltonjoachim
Автор

I am here date 1-1-2025 i just thank GOD for giving chance to see this year 😢😢😢Maana nashindwa jinsi namna ya kusema amenitendea wema🙇🙇🙇

RachelNgalya
Автор

Ningekuwa nimeishakufa Ila Mungu ananitowa na kunipunguzia majaribu kutoka Kwa watesi wangu. Huu mwimbo umenitowa machozi sana najua mwisho wa mateso ni mwanzo wa utukufu wa Mungu kuingia

ngwashimalenya
Автор

Woie may your prayers come true aki😢😢😢😢😢😢

aggycheplee
Автор

❤❤Nashukuru badoo na hema...my spirit brought me here amen

candyrobinana
Автор

Who is here in 2025 listening to dis masterpiece

gathjanedominic
Автор

Heavenly father am so thankful and greatful, Glory to God.

esthermakelemo
Автор

Huu wimbo unanikumbusha mengi sana niliyo yapitia haya elezeki ni wengi hawakuamin kama nitapona, namshukuru mungu bado na hema

AnastaziaIsaya-mvht
Автор

Every time i listen to this son, i find myself shedding tears of joy, , Thank you God for everything you've donefor me, , ,

SharonCheptoo-wi
Автор

This song says aloot, kwa akili za kibinadamu kamwe kwenye jaribu lolote tusisahau Mungu anatuwazia mema siku zote yeye ni mwema kila nyakati za maishaaa..machozi yamenitoka

jacquelinemlay
Автор

Haukuruhusu machozi yanitoke bure😢, , , wimbo ni mzuri sana ubarikiwe mtumishi

EkiliaJohn
Автор

Mungu ni kilakitu kwangu na amani ninapo mtumikia

MARTHASANGA-vp
Автор

This song is such a vibe especially when you are at your lowest, you play it and you feel relieved

ContradAuka